Tag: knec
Kamati yaonya Knec kuhusu jengo lililokwama
Na SAMWEL OWINO Jengo moja lililochukua miaka 33 bila kukamilika, limetengewa Sh500 milioni zaidi katika bajeti ya mwaka huu, huku...
WANTO WARUI: Huenda wanafunzi wengi wakakosa mitihani ya KNEC
Na WANTO WARUI Baraza la mitihani nchini (KNEC) linapanga kuwapa wanafunzi wa Gredi ya 1-3 na madarasa ya 5-7 majaribio ya kutathmini...
Wanafunzi wa elimu ya msingi waanza mitihani ya majaribio
NA MARY WANGARI WANAFUNZI wa Gredi ya Kwanza hadi Gredi ya Tatu na Darasa la Tano hadi la Saba wameanza mitihani ya majaribio yao ya...
- by adminleo
- February 15th, 2019
Wazazi waishtaki KNEC kufuta matokeo ya wanafunzi 125
Na RICHARD MUNGUTI WAZAZI wa shule moja ya upili Kaunti ya Garissa wamelishtaki Baraza la Kitaifa la Mitihani (Knec) kwa kufutilia mbali...
- by adminleo
- December 22nd, 2018
Magoha kung’atuka KNEC Machi 2019
Na CHARLES WASONGA MWENYEKITI wa Baraza la Kitaifa la Mitihani (KNEC) Profesa George Magoha Ijumaa alidokeza kuwa kipindi chake kuhudumu...
- by adminleo
- October 19th, 2018
TAHARIRI: Mawaziri wamulike zaidi maafisa wa KNEC
NA MHARIRI KWA mara nyingine, ushirikiano wa karibu uliopo kati ya Wizara za Elimu na Usalama wa Ndani na Baraza la Mitihani ya Kitaifa...
- by adminleo
- September 27th, 2018
WAMALWA: KNEC isiwabebeshe wachapa kazi kwa uadilifu mzigo ambao si wao
NA STEPHEN WAMALWA BARAZA la Kitaifa la Mitihani nchini (KNEC) limewahakikishia wanafunzi wa darasa la nane na kidato cha nne kuwa wako...
- by adminleo
- September 5th, 2018
Walimu wanaitisha wazazi Sh10,000 kuiba KCSE – KNEC
OUMA WANZALA na PETER MBURU BAADHI ya walimu watundu wamekuwa wakiitisha wazazi kulipia hadi Sh10,000 ili wanao waibiwe mtihani wa kitaifa...
- by adminleo
- May 31st, 2018
KNEC yaonya kuhusu hatari ya wizi wa mitihani kurudi
Na WANDERI KAMAU BARAZA la Kitaifa la Mitihani (KNEC) Jumatano limeonya kuhusu kuchipuka tena kwa mtandao mkubwa wa wizi wa mitihani...
- by adminleo
- May 29th, 2018
TAHARIRI: Majaribio ya kuiba mitihani yazimwe
Na MHARIRI HABARI za hivi majuzi kwamba mikakati kabambe imewekwa kuiba mtihani wa kitaifa kwa shule za upili(KCSE) zinatamausha mno na...
- by adminleo
- March 12th, 2018
Wasahihishaji wa KCSE waikejeli KNEC kutowalipa hela za 2017
Na ELIZABETH OJINA WALIMU kutoka kaunti ya Kisumu wametishia kugomea usimamizi na usahihishaji wa mitihani mwaka huu, iwapo hawatalipwa...