Tag: lamu
- by T L
- November 29th, 2022
Watahiniwa wahamishwa kwa ndege ya KDF msituni Boni
NA WAANDISHI WETU WAKATI wanafunzi wapatao milioni 2.5 walipokuwa wakijiandaa kwa mitihani yao ya kitaifa ya Gredi 6 na Darasa la Nane...
- by T L
- November 23rd, 2022
Mihadarati yasukuma vijana wengi gerezani
KALUME KAZUNGU Na FARHIYA HUSSEIN ZAIDI ya asilimia 60 ya wafungwa katika Kaunti ya Lamu ni vijana wa chini ya umri wa miaka 35, wengi wao...
- by T L
- March 24th, 2022
MAKALA MAALUM: Sababu za daraja la Kwa Omollo kuibua hofu kila linapotajwa
NA KALUME KAZUNGU DARAJA la Kwa Omollo, Kaunti ya Lamu ni eneo ambalo punde linapotajwa hushtua mioyo ya wengi, hasa wale...
- by T L
- March 10th, 2022
Matapeli wavuna vya haramu kupitia bandari ya Lamu
NA ANTHONY KITIMO MATAPELI wameanza kutumia Bandari ya Lamu kuwahadaa wafanyabiashara na wananchi wengine kwamba wanaweza kuwaagizia...
- by T L
- February 3rd, 2022
Wakazi Lamu wakataa kafyu kurefushwa
NA KALUME KAZUNGU WAKAZI wa sehemu za Kaunti ya Lamu wanaishinikiza serikali isiongeze muda wa kafyu walioekewa baada ya mashambulio...
- by T L
- January 26th, 2022
Urembo wa punda ni kitega uchumi Lamu
NA KALUME KAZUNGU KATIKA miji mingi mikubwa nchini, wafanyabiashara wa uchukuzi wa umma hurembesha sana vyombo vyao vya...
- by T L
- January 14th, 2022
Wahalifu wavuruga shughuli za kupata riziki vijijini Lamu
NA KALUME KAZUNGU UTOVU wa usalama unaoshuhudiwa Lamu umeathiri shughuli za kiuchumi wachimba migodi na wahudumu wa bodaboda wakisitisha...
- by T L
- January 14th, 2022
Masomo yatatizika Lamu shule zikiwahifadhi waliokwepa mashambulio vijijini
NA KALUME KAZUNGU SHUGHULI za masomo zimeathirika pakubwa kwenye maeneo ya Lamu ambayo yamekuwa yakishuhudia ghasia na mauaji...
- by T L
- January 13th, 2022
Simanzi waliouawa kinyama wakizikwa
NA KALUME KAZUNGU SIMANZI iligubika vijiji mbalimbali vya Lamu kwa siku mbili tangu Jumanne waathiriwa 13 waliouawa na wahalifu, ikiwemo...
- by T L
- January 10th, 2022
Watu wawili wauawa Lamu genge hatari likitekeleza unyama vijijini
NA KALUME KAZUNGU WATU wawili wameuawa kwa kupigwa risasi na pia kukatwa kwa mapanga na majangili waliovamia vijiji vya Juhudi, Marafa...
- by T L
- November 19th, 2021
KIPWANI: Dogo anayetikisa visiwa vya Lamu
Na ABDULRAHMAN SHERIFF KUNA dhana kuwa wasanii wa kiume wakioa umaarufu wao hupungua hasa kutokana na kushindwa kutangamana na mashabiki...
- by T L
- November 15th, 2021
Raila aahidi kuigeuza Lamu iwe ‘Dubai ya Afrika’
Na KALUME KAZUNGU KIONGOZI wa ODM, Raila Odinga, ameahidi kusukuma kuanzishwa kwa viwanda vikubwa vikubwa Lamu na kulibadilisha eneo...