• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 9:50 AM

CHARLES WASONGA: Serikali ikome kuhujumu vyama vya kutetea wafanyakazi

Na CHARLES WASONGA NI haki ya wafanyakazi kote ulimwenguni kujiunga na vyama vya kutetea masilahi yao kama vile nyongeza ya mishahara na...

Chelugui awahakikishia Wakenya wanaohangaika kwamba wataendelea kusaidiwa

Na WINNIE ATIENO WAZIRI wa Leba Simon Chelugui amewahakikishia Wakenya ambao walipoteza ajira kutokana na janga la corona kwamba...

Leba Dei: Wafanyakazi waitaka bunge kupuuza mageuzi ya sheria za leba

Na BENSON MATHEKA VIONGOZI wa vyama vya wafanyakazi na waajiri, Jumanne walitumia sherehe za Leba Dei za mwaka huu kuitaka serikali...

Leba Dei ya malumbano kati ya COTU, NHIF na NSSF

Na BENSON MATHEKA WAKENYA wanaadhimisha siku ya wafanyakazi ulimwenguni Jumanne huku vyama vya wafanyakazi na serikali vikizozana kuhusu...

Wahadhiri waagizwa kurejea kazini Jumatatu au wafutwe

Na OUMA WANZALA WASIMAMIZI wa vyuo vikuu nchini wametishia kuwachukulia hatua kali wahadhiri ikiwa hawatarejea kazini kufikia Jumatatu...

Wafanyakazi kaunti zote waunda chama cha kujitetea

Na PETER MBURU WAFANYAKAZI wa kaunti zote nchini wameunda muungano wa kikazi wa kuwatetea kutokana na kudhulumiwa kikazi na kupigwa...