• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 3:34 PM

Liverpool wapewa tena Real Madrid huku Bayern Munich wakivaana na PSG katika 16-bora UEFA

NA MASHIRIKA LIVERPOOL watavaana na mabingwa watetezi Real Madrid kwenye hatua ya 16-bora ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu –...

Liverpool yadengua Villarreal ya Uhispania na kutinga fainali ya UEFA

Na MASHIRIKA LIVERPOOL watakutana na Manchester City au Real Madrid kwenye fainali ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) itakayochezewa mnamo Mei...

Liverpool waponda Leeds United na kuendeleza presha kwa Man-City kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA LIVERPOOL walipunguza zaidi pengo la alama kati yao na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Manchester City...

Liverpool wadengua Leicester kwenye robo-fainali za Carabao Cup

Na MASHIRIKA DIOGO Jota alifungia Liverpool penalti ya ushindi katika mechi iliyoshuhudia Liverpool wakitoka nyuma kwa mabao mawili na...

Liverpool ni moto balaa EPL

Na MASHIRIKA KOCHA Jurgen Klopp amekiri kwamba itakuwa vigumu kwa washindani wao muhula huu kuzima ari ya Liverpool ambao wameweka wazi...

Liverpool waweka rekodi katika soka ya Ligi Kuu ya Uingereza huku wanasoka wao watatu wakiongoza orodha ya wafungaji bora EPL

Na MASHIRIKA KOCHA Jurgen Klopp amekiri kwamba itakuwa vigumu kwa washindani wao muhula huu kuzima ari ya Liverpool ambao wameweka wazi...

Liverpool wakomoa Arsenal na kupiga breki rekodi ya kutoshindwa kwao katika mechi 10

Na MASHIRIKA LIVERPOOL walikomesha rekodi nzuri ya kutoshindwa kwa Arsenal katika mechi 10 mfululizo kwenye mashindano yote kwa...

Liverpool, Manchester City nguvu sawa ligini

Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Manchester City pamoja na Liverpool walitarajia kudengua Chelsea kudengua...

Vigogo Man-U, Chelsea na Liverpool mawindoni leo

Na MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza MIAMBA wa Manchester United, Chelsea na Liverpool watalenga kuanza msimu mpya wa Ligi Kuu ya...

Liverpool wapepeta Burnley na kuingia ndani ya mduara wa 4-bora EPL

Na MASHIRIKA KOCHA Jurgen Klopp wa Liverpool alifananisha ushindi wa kikosi chake dhidi ya Burnley na ufanisi wa “nusu-fainali”...

Liverpool wazamisha RB Leipzig na kujikatia tiketi ya robo-fainali za UEFA

Na MASHIRIKA LIVERPOOL waliwapokeza RB Leipzig kutoka Ujerumani kichapo cha 2-0 mnamo Jumatano usiku katika mchuano wa mkondo wa pili wa...

Mashabiki wa Liverpool hawanitaki, wanataka Klopp asalie kuwa kocha wao – Steven Gerrard

Na MASHIRIKA KOCHA wa Rangers, Steven Gerrard, amesema ingawa kubwa zaidi katika maazimio yake ni kuwa mkufunzi wa Liverpool siku moja,...