• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

COVID-19: Kocha Jurgen Klopp akosa kusafiri Ujerumani kuhudhuria mazishi ya mama yake mzazi

Na MASHIRIKA KOCHA wa Liverpool, Jurgen Klopp hakuweza kurejea nchini Ujerumani kwa minajili ya mazishi ya mamaye mzazi mnamo Februari...

Southampton yaipokeza Liverpool kichapo cha 1-0

Na MASHIRIKA MATUMAINI ya Liverpool kuhifadhi taji la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu yaliyumbishwa Jumatatu usiku baada ya...

Liverpool wadhalilisha Palace kwa kichapo cha 7-0 ligini

Na MASHIRIKA LIVERPOOL waliweka wazi azma ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu kwa kudhalilisha Crystal Palace...

Liverpool wapiga Ajax na kusonga mbele UEFA huku chipukizi Curtis Jones akiweka historia

Na MASHIRIKA CHIPUKIZI Curtis Jones wa Liverpool alifunga bao lake la kwanza katika kipute cha Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) baada ya...

Liverpool wadandia kilele cha jedwali la EPL kwa kutoka sare ya 1-1 dhidi ya Brighton

Na MASHIRIKA PENALTI ya utata iliyofungwa na Pascal Gross mwishoni mwa kipindi cha pili iliwawezesha Brighton kusajili sare ya 1-1 dhidi...

Wanasoka 7 waliotemwa na Liverpool na wakaishia kuwa masupastaa kwingineko

Na CHRIS ADUNGO LIVERPOOL waliibuka mabingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) mnamo 2019-20 kwa mara ya kwanza baada ya miaka...

Liverpool watoka nyuma na kurefusha mkia wa Sheffield United kwenye EPL

Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Liverpool walitoka nyuma na kuwapokeza Sheffield United kichapo cha 2-1...

Pigo Liverpool Van Dijk akihofiwa kusalia nje kwa msimu mzima kutokana na jeraha

Na MASHIRIKA BEKI matata wa Liverpool, Virgil van Dijk, amesema atapania kurejea ugani kwa matao ya juu zaidi baada ya kuarifiwa kwamba...

Pigo kwa Klopp Mane kupatikana na corona

Na MASHIRIKA FOWADI Sadio Mane wa Liverpool ameugua Covid-19 na kwa sasa amejitenga. Habari za kuugua kwa mwanasoka huyo raia wa...

Liverpool kuvaana na Arsenal huku Spurs wakionana na Chelsea raundi ya 16-bora ya Carabao Cup

Na MASHIRIKA MIAMBA wa soka ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Liverpool, watakutana sasa na Arsenal kwenye raundi ya 16-bora ya kipute cha...

Salah afunga mabao matatu na kuongoza Liverpool kupepeta Leeds United ligini

Na MASHIRIKA LEEDS United walirejea katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa mara ya kwanza baada ya miaka 16 kwa matao ya juu katika...

EPL: Liverpool kuagana rasmi na afisa mkuu mtendaji Peter Moore

Na CHRIS ADUNGO AFISA Mkuu Mtendaji wa Liverpool, Peter Moore anatazamiwa kuondoka rasmi uwanjani Anfield mwishoni mwa Agosti 2020 baada...