Tag: maandamano
FAUSTINE NGILA: Mitandao yabadili sura ya maandamano nchini
NA FAUSTINE NGILA KWA wiki nzima, Wakenya wamepiga kambi katika mitandao ya kijamii ya Twitter na Facebook kuishinikiza Hazina ya...
Maandamano Thika Road kufuatia mauaji ya mkazi Githurai
Na SAMMY WAWERU SHUGHULI za usafiri na uchukuzi Thika Superhighway Alhamisi zimetatizika kwa muda kufuatia maandamano ya wakazi...
- by adminleo
- July 5th, 2020
Watu 160 wauawa kwenye maandamano Ethiopia
Na MASHIRIKA WATU 160 wameuawa nchini Ethiopia kufuatia maandamano makali ambayo yamelikumba taifa hilo kwa siku kadhaa kutokana na...
- by adminleo
- May 14th, 2020
Vijana wazua fujo kudai malipo ya Mpango wa Usafi wa mitaa
Na SAMMY KIMATU SHUGHULI katika kituo cha biashara cha South B, eneobunge la Starehe, Nairobi zilikwama kwa muda baada ya vijana...
- by adminleo
- January 16th, 2020
Mauti na vilio wakazi wakidai haki yao Kasarani
PETER MBURU na MARY WAMBUI POLISI Alhamisi waliendelea kulaumiwa kwa kutumia nguvu kupita kiasi kukabiliana na waandamanaji waliokuwa...
- by adminleo
- January 13th, 2020
Wanachuo wakabiliana na polisi wakipinga faini
STELLA CHERONO na MERCY KOSKEI BEWA Kuu la Chuo Kikuu cha Egerton, Jumatatu liligeuka uwanja wa vita, wanafunzi wakikabiliana na polisi...
- by adminleo
- November 1st, 2019
Wakazi wa Gituamba eneobunge la Gatundu Kaskazini waandamana kulalamikia ubovu wa barabara
Na LAWRENCE ONGARO SHUGHULI za uchukuzi katika barabara ya Gatukuyu kuelekea Mataara zilitatizika baada ya wakazi wa Gituamba kufanya...
- by adminleo
- October 23rd, 2019
Maandamano kona zote Kenya
Na WAANDISHI WETU WANANCHI wengi waliochoshwa na matatizo yanayowakumba kimaisha Jumanne waliandamana katika pembe tofauti za nchi...
- by adminleo
- May 10th, 2019
Maandamano dhidi ya Gavana Sang yatibuka
Na TOM MATOKE MAANDAMANO yaliyopangwa kufanyika Ijumaa dhidi ya seneta wa Nandi, Stephen Sang yalitibuka dakika ya mwisho baada ya mmoja...
- by adminleo
- May 7th, 2019
Wafanyabiashara Thika walia kuhangaishwa
Na LAWRENCE ONGARO WAFANYABIASHARA mjini Thika wamelazimika kusitisha biashara zao kwa saa tatu ili kuwasilisha matakwa yao kwa afisi...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Waandamanaji Sudan wakaidi hali ya hatari
Na MASHIRIKA WAANDAMANAJI nchini Sudan wamesisitiza kuendelea kukaidi agizo la Rais Omar al-Bashir la kusitisha maandamano dhidi yake...
- by adminleo
- September 4th, 2018
Mwanamume aandamana peke yake jijini kupinga bei ghali
Na PETER MBURU KUZIDI kupanda kwa gharama ya maisha kumewasukuma Wakenya kujitokeza waziwazi na kumlilia Rais Uhuru Kenyatta kusuluhisha...