Tag: mabwawa
Bwawa hatari kwa wakazi Nyeri
Na SAMMY WAWERU Barabara inayounganisha mji wa Nyeri na Karatina ni yenye shughuli chungu nzima za usafiri na uchukuzi, ikizingatiwa...
- by adminleo
- June 9th, 2020
Mifereji na mabwawa kujengwa Garissa kutatua tatizo la mafuriko
Na FARHIYA HUSSEIN MIFEREJI na mabwawa yatajengwa katika Kaunti ya Garissa kama hatua ya kukabiliana na tatizo la mafuriko katika eneo...
- by adminleo
- October 24th, 2019
Waziri Eugene asema serikali itajenga mabwawa madogo kwa gharama nafuu
Na SAMMY WAWERU ILIPOCHUKUA hatamu za uongozi mwaka 2013 serikali ya Jubilee iliahidi kufanya miradi mbalimbali ya maendeleo katika kila...
- by adminleo
- July 23rd, 2019
Dhamana ya Sh30m kwa Rotich na Thugge au Sh100m pesa taslimu
SAM KIPLAGAT Na BENSON MATHEKA WAZIRI wa Fedha, Henry Rotich na Katibu wa wizara hiyo Kamau Thugge, Jumanne waliachiliwa kwa dhamana ya...
- by adminleo
- July 23rd, 2019
UFISADI: Rotich atumbukia bwawani
Na VALENTINE OBARA SAKATA ya mabwawa ya Arror na Kimwarer katika Kaunti ya Elgeyo Marakwet, Jumatatu ilimtumbukiza Waziri wa Fedha,...
- by adminleo
- July 22nd, 2019
SAKATA YA MABWAWA: Mbadi awataka Ruto na Murkomen kujiuzulu
NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wachache katika Bunge la Kitaifa John Mbadi sasa anamtaka Naibu Rais William Ruto kujiuzulu mara moja...
- by adminleo
- July 22nd, 2019
Vitimbi vya ‘Kamata Kamata’ vyarudi Rotich akibambwa
Na WAANDISHI WETU IDARA ya Uchunguzi wa Uhalifu (DCI) Jumatatu ilirejelea shughuli zake za kukamata washukiwa wa ufisadi, almaarufu kama...
- by adminleo
- June 15th, 2019
JUHUDI: Mkulima asema kukiwa na utaratibu mzuri, ni rahisi kujenga mabwawa
NA SAMMY WAWERU SERIKALI ya Jubilee ilipochukua hatamu 2013 chini ya kinara Rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake Dkt Willima Ruto, iliingia...
- by adminleo
- April 1st, 2019
Barclays yaamriwa ilipe serikali magari iliyonunulia kampuni za kujenga mabwawa
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu Jumatatu iliiamuru Benki ya Barclays ikabidhi afisi ya Mkurugenzi wa Jinai (DCI) magari iliyonunulia...
- by adminleo
- March 24th, 2019
Mudavadi adai mabwawa ni njama ya uporaji
WACHIRA MWANGI Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha ANC, Musalia Mudavadi amedai kwamba miradi ya ujenzi wa mabwawa 57 ni mbinu ya...
- by adminleo
- March 13th, 2019
Kihara awajibu wandani wa Ruto
Na CHARLES WASONGA MKUU wa Sheria Paul Kihara Kariuki amekana madai ya baadhi ya wanasiasa kuwa vita dhidi ya ufisadi vinaendelezwa kwa...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Gavana aomba Rais msamaha kwa niaba ya wabunge
Na JEREMIAH KIPLANGAT GAVANA wa Elgeyo Marakwet Alex Tolgos jana aliwapuuzilia mbali viongozi wa Rift Valley ambao wamemshambulia Rais...