Tag: MAHARI
Wamuua kaka yao wakipigania mahari ya dada
Na Titus Ominde FURAHA ya kupokea pesa za mahari katika familia moja katika kijiji cha Cheplachabei, Kaunti Ndogo ya Soy iliyo Kaunti ya...
Nilitoroka na mahari ya baba ili asioe mchumba wangu, kijana asimulia
Na STEPHEN ODUOR MVULANA wa miaka 17 katika Kaunti ya Tana River, aliyetorosha mahari iliyokusudiwa kutumiwa na babake kuoa mke wa nne,...
- by adminleo
- July 9th, 2020
Familia yateta chifu kuagiza warudishe mahari
Na MAUREEN ONGALA FAMILIA katika kijiji cha Muhoni, eneobunge la Ganze imemkashifu chifu wa eneo hilo kwa kuwaagiza kurudisha mahari ya...
- by adminleo
- May 31st, 2020
MILA NA DESTURI: Utoaji mahari na ndoa katika jamii ya Wasomali
Na FARHIYA HUSSEIN [email protected] ILIKUWA fahari kubwa Taifa Leo kupata kupata fursa ya kujumuika na jamii ya Wasomali...
- by adminleo
- January 16th, 2020
Alazimika kutoa punda kama mahari
Na John Musyoki SIAKAGO, Embu JAMAA mmoja alilazimika kuwapa wakwe zake punda wawili ili kupunguza deni la kulipa...
- by adminleo
- December 22nd, 2019
Gavana ataka mahari sawa kwa mabinti waliosoma na wasiosoma
Na ALEX NJERU GAVANA wa Tharaka-Nithi Muthomi Njuki amependekeza kwamba Baraza la Wazee wa Njuri Ncheke lipitishe uamuzi utakaofanya...
- by adminleo
- December 5th, 2019
Kamwe hatuwezi kutoza ushuru kwa mahari – KRA
Na MARY WANGARI MAMKALA ya Kukusanya Ushuru (KRA) imelazimika kukanusha madai kwamba ilikuwa na mipango ya kuanza kutoza ushuru kwa...
- by adminleo
- December 5th, 2019
Warudi na mahari kwa kukosa ugali
Na TOBBIE WEKESA KOYONZO, VIHIGA KIOJA kilizuka kijijini hapa baada ya wazee kuamua kurudi nyumbani na mahari waliyokuwa wameleta,...
- by adminleo
- October 9th, 2019
Wazee sasa kuweka viwango vya mahari
Na CHARLES WANYORO BARAZA la Wazee wa Jamii ya Ameru la Njuri Ncheke limetangaza mipango ya kusawazisha mahari yanayotolewa kwa familia...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
Demu pabaya kujilipia mahari
Na Leah Makena MAGOGONI, THIKA Kidosho wa hapa alikaripiwa na wazee kwa kuchukua mkopo kusaidia mumewe kulipa mahari. Duru zasema...
- by adminleo
- August 15th, 2019
Gharama ya juu ya mahari inavyozimia vijana ndoto ya ndoa
Na MWANGI MUIRURI IKIWA kuna safu moja ya kimaisha ambayo inawalemea kuwapa imani na ndoa vijana wengi katika jamii, ni...
- by adminleo
- March 24th, 2019
Wakataa kutoa mahari hadi binti aolewe na kuzaa
SABATIA, VIHIGA Kizaazaa kilizuka eneo hili baada ya mashemeji watarajiwa kuwatawanya wazee waliokuwa wakijadili harusi ya kijana wao...