• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Masumbwi ya Jamal yang’oa nanga Kisumu

Na CHARLES ONGADI HATIMAYE Shirikisho la Ndondi Nchini (BFK) limetoa ratiba ya mashindano ya President Jamal Boxing Championship...

NDONDI: Nahodha Nick ‘Commander’ Okoth kuongoza kikosi kusaka ushindi Olimpiki

Na CHARLES ONGADI NAHODHA wa timu ya taifa ya ndondi Nick ‘Commander' Okoth ameahidi atawaongoza vyema wenzake kuvuna ushindi katika...

Hit Squad kushiriki mashindano ya masumbwi DRC

CHARLES ONGADI TIMU ya taifa ya Ndondi 'Hit Squad' itashiriki katika mashindano Afrika Zone 3 yatakayoandaliwa jijini Jamhuri ya...

NDONDI: Kenya yasubiria nafasi mbili zaidi Olimpiki

NA CHARLES ONGADI LICHA ya kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC) kufutilia mbali Mashindano ya Dunia kufuzu kushiriki Michezo ya...

Rais wa Masumbwi yasiyo ya malipo duniani kuwasili Kenya Jumamosi

AYUMBA AYODI na GEOFFREY ANENE RAIS wa Shirikisho la Ndondi zisizo za malipo duniani (AIBA) Umar Kremlev atawasili nchini Kenya hapo...

Kenya yamwomboleza bondia Douglas Maina

Na GEOFFREY ANENE KENYA inaomboleza kifo cha mshindi wa medali za shaba za Michezo ya Jumuiya ya Madola (Canada) na African Games...

Nilimtandika Zarika lakini majaji wakampa ushindi – Mercado

Na PETER MBURU MWANABONDIA kutoka Mexico Yamileth Mercado ambaye alipoteza vita dhidi ya Mkenya Fatuma Zarika sasa amelaumu majaji wa...

Sina tamaa ya hela, asema bondia Benson Gicharu baada ya kustaaafu

Na GEOFFREY ANENE HATIMAYE bondia Benson Gicharu ameangika glavu zake. Afisa huyu wa polisi aliongeza kwamba hana mipango ya kujitosa...

KDF anayesherehekea Leba Dei akichuuza maji kwa mkokoteni asimulia alivyoiletea Kenya sifa

NA PETER MBURU HUKU Wakenya wakisubiri kusherehekea siku ya wafanyakazi ya ‘Leba dei’ miaka 55 tangu nchi kupata Uhuru Jumanne, kwa...

GOLD COAST AUSTRALIA: Ni shaba tu kwa bondia Christine

Na CHRIS ADUNGO BONDIA Christine Ongare aliwaepushia wanamasumbwi wa Kenya aibu ya kuambulia pakavu kabisa katika ulingo wa ndondi baada...

Pigano la Okwiri na Ouma laahirishwa hadi Aprili 18

Na GEOFFREY ANENE PIGANO la kimataifa la uzani wa ‘welter’ kati ya Mkenya Rayton Okwiri na Mganda Kassim Ouma hapo Machi 30...