Tag: masumbwi
- by T L
- December 7th, 2021
Masumbwi ya Jamal yang’oa nanga Kisumu
Na CHARLES ONGADI HATIMAYE Shirikisho la Ndondi Nchini (BFK) limetoa ratiba ya mashindano ya President Jamal Boxing Championship...
NDONDI: Nahodha Nick ‘Commander’ Okoth kuongoza kikosi kusaka ushindi Olimpiki
Na CHARLES ONGADI NAHODHA wa timu ya taifa ya ndondi Nick ‘Commander' Okoth ameahidi atawaongoza vyema wenzake kuvuna ushindi katika...
Hit Squad kushiriki mashindano ya masumbwi DRC
CHARLES ONGADI TIMU ya taifa ya Ndondi 'Hit Squad' itashiriki katika mashindano Afrika Zone 3 yatakayoandaliwa jijini Jamhuri ya...
NDONDI: Kenya yasubiria nafasi mbili zaidi Olimpiki
NA CHARLES ONGADI LICHA ya kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC) kufutilia mbali Mashindano ya Dunia kufuzu kushiriki Michezo ya...
Rais wa Masumbwi yasiyo ya malipo duniani kuwasili Kenya Jumamosi
AYUMBA AYODI na GEOFFREY ANENE RAIS wa Shirikisho la Ndondi zisizo za malipo duniani (AIBA) Umar Kremlev atawasili nchini Kenya hapo...
- by adminleo
- April 24th, 2020
Kenya yamwomboleza bondia Douglas Maina
Na GEOFFREY ANENE KENYA inaomboleza kifo cha mshindi wa medali za shaba za Michezo ya Jumuiya ya Madola (Canada) na African Games...
- by adminleo
- September 12th, 2018
Nilimtandika Zarika lakini majaji wakampa ushindi – Mercado
Na PETER MBURU MWANABONDIA kutoka Mexico Yamileth Mercado ambaye alipoteza vita dhidi ya Mkenya Fatuma Zarika sasa amelaumu majaji wa...
- by adminleo
- May 15th, 2018
Sina tamaa ya hela, asema bondia Benson Gicharu baada ya kustaaafu
Na GEOFFREY ANENE HATIMAYE bondia Benson Gicharu ameangika glavu zake. Afisa huyu wa polisi aliongeza kwamba hana mipango ya kujitosa...
- by adminleo
- April 30th, 2018
KDF anayesherehekea Leba Dei akichuuza maji kwa mkokoteni asimulia alivyoiletea Kenya sifa
NA PETER MBURU HUKU Wakenya wakisubiri kusherehekea siku ya wafanyakazi ya ‘Leba dei’ miaka 55 tangu nchi kupata Uhuru Jumanne, kwa...
- by adminleo
- April 12th, 2018
GOLD COAST AUSTRALIA: Ni shaba tu kwa bondia Christine
Na CHRIS ADUNGO BONDIA Christine Ongare aliwaepushia wanamasumbwi wa Kenya aibu ya kuambulia pakavu kabisa katika ulingo wa ndondi baada...
- by adminleo
- March 22nd, 2018
Pigano la Okwiri na Ouma laahirishwa hadi Aprili 18
Na GEOFFREY ANENE PIGANO la kimataifa la uzani wa ‘welter’ kati ya Mkenya Rayton Okwiri na Mganda Kassim Ouma hapo Machi 30...