Tag: matiang’i
Serikali yabuni kituo cha kufuatilia habari kuhusu visa vya Covid-19 baada ya shule kufunguliwa
Na CHARLES WASONGA SERIKALI kwa ushirikiano na wadau katika sekta ya elimu, imeweka mikakati ya pamoja ya kufanikisha ufunguzi wa shule...
Matiang’i na Mutyambai waitwa Seneti kueleza sababu ya kuhangaisha maseneta
Na CHARLES WASONGA SPIKA wa Seneti Kenneth Lusaka Jumanne aliamuru Waziri wa Usalama Fred Matiang’i na Inspekta Jenerali wa Polisi...
- by adminleo
- July 29th, 2020
IDD-UL-ADHA: Matiang’i atangaza Ijumaa ni sikukuu
Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Masuala ya Ndani Fred Matiang'i ametangaza Ijumaa, Julai 31, 2020, kuwa siku ya mapumziko. Kwenye...
- by adminleo
- July 24th, 2020
Puuzeni uvumi kwamba Matiang’i amelazwa hospitalini – Serikali
Na CHARLES WASONGA WIZARA ya Masuala ya Ndani Ijumaa, Julai 24 ilipuuzilia mbali habari zinazosambazwa mitandaoni kwamba waziri Fred...
- by adminleo
- March 9th, 2020
Uhuru atuma Matiang’i kuonya Rais wa Somalia
Na AGGREY MUTAMBO RAIS Uhuru Kenyatta Jumapili alikubali kutuma wakuu wa usalama kukutana na Rais wa Somalia, Mohamed Farmaajo katika...
- by adminleo
- February 29th, 2020
Matiang’i atosha 2022, Murathe asema
Na NDUNGU GACHANE ALIYEKUWA naibu mwenyekiti wa chama cha Jubilee David Murathe amemsifu Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiangi...
- by adminleo
- January 15th, 2020
Wabunge wa Kisii sasa wanamtaka Matiang’i ajiuzulu
Na CHARLES WASONGA WABUNGE kutoka eneo la Gusii wanaoegemea mrengo wa Tangatanga wamemtaka Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’I...
- by adminleo
- January 13th, 2020
Mfalme wa Kisii
CHARLES WASONGA na RUTH MBULA WAZIRI wa Usalama Fred Matiang’i, ameibuka kuwa mfalme mpya wa jamii ya Wakisii, kiasi cha wabunge wa...
- by adminleo
- December 5th, 2019
Uhuru anavyotumia Matiang’i kuzima Ruto
Na BENSON MATHEKA SASA ni wazi kuwa Waziri wa Usalama wa Ndani, Fred Matiang'i ndiye anayetumiwa na Rais Uhuru Kenyatta kumzima Naibu...
- by adminleo
- November 19th, 2019
Wizara ya Matiang’i inaongoza kwa ufisadi – EACC
Na BENSON MATHEKA WIZARA ya Usalama wa Ndani ndiyo fisadi zaidi nchini, utafiti wa hivi punde wa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi...
- by adminleo
- November 14th, 2019
Baadhi ya wabunge watetea Matiang’i na Kibicho
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wa Jubilee wanaoegemea mrengo wa 'Kieleweke' wamemtaka Niabu Rais William Ruto kukubali kushindwa kwa mgombea...
- by adminleo
- November 6th, 2019
Wabunge wamtaka Matiang’i afute Kinoti, avunje Flying Squad
RICHARD MUNGUTI na CHARLES WASONGA WABUNGE Jumanne wamemtaka Waziri wa Ulinzi Dkt Fred Matiang’i amsimamishe kazi Mkurugenzi wa Idara...