Tag: MBUGA
- by adminleo
- June 24th, 2019
Maisha ya wanyama pazuri baada ya Ziwa Nakuru kusafishwa
NA RICHARD MAOSI Mbuga ya Ziwa Nakuru, sasa limesafishwa katika mojawapo ya juhudi za kukabiliana na maji taka yanayoingia...
- by adminleo
- May 26th, 2019
Wakenya waruhusiwa kutalii mbuga ya Ziwa Nakuru
NA PHYLLIS MUSASIA MKURUGENZI mkuu wa shirika la Huduma za Wanyamapori Nchini (KWS) Brigedia Msataafu John Waweru Jumapili ameruhusu...
- by adminleo
- April 14th, 2019
Wanyamapori wetu ni zawadi kutoka kwa Mola, tuilinde – Mama wa Taifa
PSCU na CHARLES WASONGA MAMA wa Taifa Margaret Kenyatta amekariri umuhimu wa Wakenya kuhakikisha wanalinda wanyama pori kwa manufaa ya...
- by adminleo
- March 22nd, 2019
Uchangamfu KWS kutangaza mbuga kwa picha ya vifaru wakijamiiana
Na PETER MBURU SHIRIKA la Huduma kwa Wanyamapori (KWS) limewachangamsha Wakenya kwenye mitandao ya kijamii, baada ya kuchapisha picha ya...
- by adminleo
- March 17th, 2019
Maafisa wa KWS motoni kwa kuua mwanamume na kulisha mamba mwili wake
NA CHARLES WASONGA MAAFISA sita wa Shirika la Wanyamapori Nchini (KWS) wanazuiliwa katika Kituo cha Polisi cha Malindi kuhusiana na...
- by adminleo
- January 10th, 2019
NAKURU: Nyani wanaopokonya walevi pombe na kuiba chakula cha wakazi
NA RICHARD MAOSI KATIKA mji wa Nakuru, mitaa imepewa majina yao kutokana na sifa zake au hali halisi ya maisha. Mojawapo ya...
- by adminleo
- October 8th, 2018
Mbuga ya Maasai Mara bado namba wani Afrika
Na GEORGE SAYAGIE MBUGA ya wanyamapori ya Maasai Mara kwa mara nyingine imeorodheshwa katika nafasi ya kwanza Barani Afrika kwenye tuzo...
- by adminleo
- September 17th, 2018
Profesa Hamo aongoza hamasisho la kulinda vifaru
RICHARD MAOSI NA MAGDALENE WANJA MAKALA ya 15 ya waendeshaji baiskeli katika Kaunti ya Nakuru kuhusu uhamasisho wa kulinda wanyamapori...
- by adminleo
- March 21st, 2018
Kifaru mweupe wa mwisho duniani aaga kwa kuzeeka
Na PETER MBURU KENYA na ulimwengu kwa jumla Jumanne waliamkia majonzi, baada ya kifaru wa kiume aina ya Nothern White Rhino wa mwisho...