• Nairobi
  • Last Updated April 16th, 2024 6:55 PM

MBWEMBWE: Guu la kushoto la Mahrez linazidi kumvunia dhahabu

Na CHRIS ADUNGO RIYAD Karim Mahrez, 30, ni winga matata raia wa Algeria ambaye kwa sasa anasakata soka ya kulipwa kambini mwa Manchester...

MBWEMBWE: Kiungo Di Maria ni mwenye guu la Almasi, ana magari na makasri ya kutisha

Na CHRIS ADUNGO ANGEL Di Maria, 33, ni kiungo mvamizi raia wa Argentina ambaye kwa sasa anasakata soka ya kulipwa katika kikosi cha...

MBWEMBWE: Licha ya ukwasi wa Sh4.6b Alba aendelea kuchuma zaidi

Na CHRIS ADUNGO JORDI Alba, 32, ni beki wa kushoto wa Barcelona na timu ya taifa ya Uhispania. Alianza kusakata soka akivalia jezi za...

MBWEMBWE: Kigogo Chiellini ana noti za kukausha bahari nzima

Na CHRIS ADUNGO MWANASOKA Giorgio Chiellini ni nahodha na difenda mzoefu wa Italia, ambaye kwa sasa anasakatia Juventus katika Ligi Kuu...

MBWEMBWE: Bruno Fernandes si magoli tu pia kuunda pesa hafanyi mzaha

Na CHRIS ADUNGO BRUNO Miguel Borges Fernandes, 26, ni kiungo mvamizi raia wa Ureno ambaye kwa sasa anachezea klabu ya Manchester United...

MBWEMBWE: Fernandinho na mkewe ni wapenzi wa michuma ya bei ghali na makasri ya kifahari

Na CHRIS ADUNGO FERNANDO Luiz Roza almaarufu Fernandinho, 35, ni kiungo raia wa Brazil ambaye kwa sasa ni nahodha wa Manchester City...

MBWEMBWE: Kante: Shabiki sugu wa tenisi, anachotewa mihela ya kutisha

Na CHRIS ADUNGO N’GOLO Kante, 29, ni kiungo raia wa Ufaransa anayechezea Chelsea katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL). Baada ya...

MBWEMBWE: Kwa mkwanja wa Sh35 milioni kuvumisha bidhaa za Adidas, hata Hummels akistaafu si neno

Na CHRIS ADUNGO MATS Julian Hummels, 32, ni difenda wa kati raia wa Ujerumani ambaye kwa sasa anachezea Borussia Dortmund katika Ligi...

MBWEMBWE: Mkwasi huyu wa kutumbua majipu ya wapinzani gozini; usilojua ni alifanya utabibu

Na CHRIS ADUNGO JAMIE Richard Vardy, 33, ni mvamizi matata wa Leicester City na timu ya taifa ya Uingereza. Upekee wake ni uwezo wa...

MBWEMBWE: Ukwasi wa Sergio utagharimia karo vyuoni Kenya kwa miezi 6

Na CHRIS ADUNGO SERGIO Ramos Garcia, 34, ni difenda matata raia wa Uhispania ambaye kwa sasa ni tegemeo kubwa katika safu ya ulinzi...

MBWEMBWE: Oblak nyani nambari wani anayetamba pia kingwenje

Na CHRIS ADUNGO JAN Oblak, 27, ni kipa matata mzawa wa Slovenia ambaye kwa sasa anawadakika Atletico Madrid katika Ligi Kuu ya Uhispania...

MBWEMBWE: Jina kubwa Mo Farah! Ana sifa za kukimbiza mamilioni

Na CHRIS ADUNGO MOHAMMED Muktar Jama Farah almaarufu Mo Farah, ni mwanariadha wa Uingereza mzawa wa Somalia, ambaye amekwea ngazi za...