• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 12:30 PM

Serikali kuu idhibiti kisiwa cha Migingo kuzuia ghasia – Seneta

Na RUTH MBULA Mizozo kuhusu umiliki wa kisiwa cha Migingo unazidi kutokota zaidi huku Seneta wa Migori Ochillo Ayacko sasa akitaka...

Uganda yazuia Kenya kupandisha bendera kisiwani Migingo

NA MWANDISHI WETU JUHUDI za maafisa wa Kenya kupandisha bendera katika Kisiwa cha Migingo ziliambulia patupu kwa mara nyingine mnamo...

ICJ itatue zogo la umiliki wa Migingo – Orengo

NA ELISHA OTIENO KIONGOZI wa Wachache katika Seneti James Orengo, sasa anaitaka Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kuingilia kati mzozo...

Wanajeshi wa Uganda wazuilia polisi wa Kenya ziwani Victoria

Na RUSHDIE OUDIA WANAJESHI wa Uganda wanawazuilia maafisa wa usalama wa Kenya katika kile kinachoonekana kuwa mzozo wa hivi punde kuhusu...

KINAYA: Naona ni heri tuiuze Kenya kila mtu agawiwe hela arudi kwao

[caption id="attachment_1223" align="aligncenter" width="800"] Wakili mbishi na mwanasiasa wa NASA aliyefurushwa kutoka humu nchini na...