Tag: miguna
Miguna aahidi kuzima ufisadi Nairobi
Na CHARLES WASONGA MWANASHERIA mbishani anayeishi uhamishoni Miguna Miguna ametangaza kuwa atawania kiti cha ugavana wa Nairobi katika...
Miguna amezea ugavana Nairobi licha ya visiki
NA WANGU KANURI WAKILI mbishi aliyenyimwa kibali cha kuingia nchini Kenya, Dkt Miguna Miguna, ametangaza kuwa atawania kiti cha ugavana...
- by adminleo
- January 21st, 2020
Miguna akunja mkia na kurudi Canada
Na RICHARD MUNGUTI WAKILI Miguna Miguna Jumanne alikunja mkia na kuamua kurudi Canada baada ya kukwama Ujerumani kwa siku 16, kufuatia...
- by adminleo
- January 15th, 2020
‘Kurejea kwa Miguna sasa ni kitendawili’
Na RICHARD MUNGUTI KUREJEA nchini kwa mwanaharakati Dkt Miguna Miguna hakujulikani baada ya mwanasheria mkuu Paul Kihara kutofika...
- by adminleo
- January 13th, 2020
Miguna: Serikali yaitwa kortini Januari 21
Na Richard Munguti KIZUGUMKUTI kinakumba marejeo ya mwanaharakati Dkt Miguna Miguna baada ya mwanasheria mkuu Paul Kihara kutofika...
- by adminleo
- January 11th, 2020
Miguna: Korti yaita Kihara afafanue ukaidi wa serikali
Na Richard Munguti MWANASHERIA Mkuu Paul Kihara ameagizwa afike mahakamani Jumatatu kueleza kwa nini Serikali haijafanikisha kurudi kwa...
- by adminleo
- January 10th, 2020
Wadai Kuria amekamatwa kwa kusema Miguna afaa kuruhusiwa nchini
Na SAMMY WAWERU WABUNGE wanaohusishwa na mrengo wa 'Tangatanga' sasa wanadai kukamatwa kwa mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Wazee walaani serikali kumtesa Miguna
Na GEORGE ODIWUOR KUNDI la wazee wa jamii ya Waluo limeitaka serikali kukoma kumhangaisha wakili Miguna Miguna, ambaye amekwama Uropa...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Miguna anajikaanga mwenyewe – Wadadisi
Na WANDERI KAMAU MSIMAMO mkali wa wakili mbishi Miguna Miguna ndicho chanzo cha masaibu yanayomwandama, wamesema wadadisi. Dkt Miguna...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Miguna anavyojikaanga mwenyewe
Na WANDERI KAMAU MSIMAMO mkali wa wakili mbishi Miguna Miguna ndicho chanzo cha masaibu yanayomwandama, wamesema wadadisi. Dkt Miguna...
- by adminleo
- January 8th, 2020
Mahakama yaamuru serikali ijibu kesi ya Miguna
Na RICHARD MUNGUTI MAWAKILI wa mwanaharakati na wakili mwenye tajiriba ya juu Dkt Miguna Miguna anayekumbwa na matatizo ya usafiri...
- by adminleo
- January 7th, 2020
Watumiaji mitandao ya kijamii wakashifu hatua ya Miguna kuzuiwa kuabiri ndege
Na SAMMY WAWERU HISIA mseto zimetolewa na Wakenya wakiwemo watumiaji wengine wa mitandao ya kijamii kufuatia madai kuwa wakili Joshua...