• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 9:50 AM

MIMBA ZA MAPEMA: Jinsi ‘usasa’ ulivyoharibu makuza mema

Na MISHI GONGO JUNI 2020 Wakenya walikumbwa na hali ya wásiwasi kufuatia nchi kuandikisha idadi kubwa ya matineja kupata...

Zaidi ya wasichana 5000 watungwa mimba Meru

DAVID MUCHUI na FAUSTINE NGILA Wasichana 170 wenye umri wa kati ya miaka 10 na 14 wamepata uja uzito kaunti ya Meru kati ya Januari na...

Visa vya akina mama kulipwa miraa mabinti wakilala na wazee vyaripotiwa Lamu

Na KALUME KAZUNGU BAADHI ya akina mama kwenye vijiji vingi vya Waboni, Kaunti ya Lamu wamelaumiwa kwa kushawishika kulipwa miraa na...

Serikali yakiri corona inachangia mimba za mapema

Na JUMA NAMLOLA SERIKALI inafuatilia kwa karibu ripoti kuhusu mimba za mapema miongoni mwa watoto wa kike. Waziri msaidizi wa Wizara...

Msipuuze takwimu za mimba za wasichana – Serikali

Na MWANDISHI WETU SERIKALI Kuu imesema takwimu zilizoonyesha kuwa wasichana wadogo takriban 4,000 walitungwa mimba katika Kaunti ya...

Vilio watoto 4,000 wakipachikwa mimba Machakos

Na LILLIAN MUTAVI TAIFA Jumatano lilipigwa na bumbuwazi ilipofichuka kuwa kuna wasichana wadogo takriban 4,000 ambao wameshika mimba...

Wasichana 28 hupachikwa mimba kila siku Machakos – Utafiti

NA MWANDISHI WETU Zaidi ya wasichana 28 hupata ujauzito kila siku katika kipindi cha miezi mitano iliyopita Kaunti ya Machakos kulingana...

AFYA: Hatua za kumsaidia mjamzito kupunguza kichefuchefu

Na MARGARET MAINA [email protected] MIEZI mitatu ya kwanza ya ujauzito, ni muda wa mabadiliko mbalimbali kimwili na...

Tunahitaji mdahalo kung’amua mimba ya mapema ilipoanzia – Ole Kina

Na DIANA MUTHEU VIONGOZI wameomba vijana wapewe elimu kuhusu maswala ya uzazi ili waweze kujiepusha kupata mimba za...

California yaamrisha vyuo vya umma kuruhusu uavyaji mimba

Na AFP CALIFORNIA, Amerika CALIFORNIA ndilo eneo la kwanza kuamrisha vyuo vikuu vyote vya umma kutoa matibabu ya uavyaji mimba, hatua...

SEKTA YA ELIMU: Mwongozo huu mpya utapiga jeki masomo ya mtoto wa kike

Na CHARLES WASONGA VISA vya wanafunzi wa kike kukatiza masomo yao baada ya kupachikwa mimba ni baadhi ya changamoto zinazokumba azma ya...

Wanawake wajidunge sindano wenyewe kuzuia mimba – WHO

Na VALENTINE OBARA WANAWAKE waliohitimisha umri wa uzazi wataweza kujidunga sindano za dawa kuzuia ujauzito iwapo pendekezo la Shirika...