Tag: miti
Wanafunzi wengi zaidi kusomea chini ya miti 2021
Na WAANDISHI WETU IDADI kubwa ya wanafunzi watakaorudi shuleni wiki ijayo, watalazimika kusoma chini ya miti baada ya serikali kushindwa...
- by adminleo
- April 26th, 2020
AKILIMALI: Ukuzaji miche unalipa
Na JOHN NJOROGE [email protected] Unapoingia mji wa Elburgon kupitia barabara mbovu ya Molo- Nakuru unapata aina tofauti ya...
- by adminleo
- December 2nd, 2019
WASONGA: Viongozi waendeshe kampeni ya kupanda miti
Na CHARLES WASONGA WANASIASA Ni watu ambao wamepewa kipawa cha kuteka hisia na kushawishi umma, haswa kuhusu masuala ya kisiasa...
- by adminleo
- June 3rd, 2019
Wanafunzi wahamasishwa kuhusu upandaji miti
NA RICHARD MAOSI Wanafunzi kutoka shule ya wavulana ya Jomo Kenyatta katika eneo la Bahati kaunti ya Nakuru, wamepanda miche 1,000...
- by adminleo
- May 14th, 2019
Wakazi wa Thika wahimizwa kupanda miti kuhifadhi mazingira
Na LAWRENCE ONGARO KUNA haja ya kupanda miti kila sehemu nchini ili kuhifadhi mazingira ambayo yanaonekana kupoteza mvuto kutokana na...
- by adminleo
- April 2nd, 2019
Ni muhimu kujiandaa kupanda miche ya miti mvua ikibisha hodi
Na SAMMY WAWERU WIZARA ya Mazingira imekuwa katika harakati za kuhamasisha kampeni ya upanzi wa miti ili kuafikia kigezo cha asilimia 10...
- by adminleo
- July 12th, 2018
Serikali yatakiwa kutaja wanyakuzi wa msitu wa Mau
GEORGE SAYAGIE na PATRICK LANG’AT SERIKALI inaendelea kukabiliwa na shinikizo za kuwafichua na kuwashtaki mabwenyenye walionyakua...
- by adminleo
- July 11th, 2018
Si miti tu, ukataji nyasi pia ni haramu, serikali yafafanua
Na VALENTINE OBARA SERIKALI imefafanua kuwa marufuku dhidi ya ukataji miti ilijumuisha pia ukataji nyasi misituni na kuonya umma dhidi ya...
- by adminleo
- May 24th, 2018
Marufuku ya ukataji miti yaongezwa kwa miezi 6
Na BERNARDINE MUTANU Serikali imerefusha marufuku ya ukataji wa miti kwa miezi sita, saa chache kabla ya marufuku iliyotangazwa Februari...
- by adminleo
- May 13th, 2018
#PandaMitiPendaKenya: Safari ya kupanda miti 1.8 bilioni yang’oa nanga
Na WAANDISHI WETU RAIS Uhuru Kenyatta Jumamosi alizindua kampeni kubwa ya kupanda miti takriban 1.8 bilioni kote nchini katika muda wa...
- by adminleo
- April 19th, 2018
Wakazi wakwama juu ya miti kufuatia mafuriko
STEPHEN ODUOR na JADSON GICHANA WAKAZI wa eneo la Nanigi, Kaunti ya Tana River, wamekuwa wakiishi mitini na kwa paa za nyumba zao kwa...
- by adminleo
- April 16th, 2018
Malori yenye magunia 330 ya makaa yanaswa
Na OSCAR KAKAI MAAFISA wa misitu na wa serikali ya kaunti wamenasa malori matatu yakisafirisha magunia 330 ya makaa mjini Kacheliba,...