Tag: mlo
- by adminleo
- January 30th, 2020
Wa Iria apendekeza mlo wa bure kwa wanavyuo vikuu
Na NDUNGU GACHANE GAVANA wa Murang’a Mwangi wa Iria ametangaza nia ya kuanza mpango wa kutoa chakula bila malipo katika vyuo vikuu vya...
- by adminleo
- November 4th, 2019
Wanyimwa mlo kwa kusengenya bi harusi
Na LEAH MAKENA KAYOLE, NAIROBI AKINA mama waliohudhuria harusi ya mtaani walipata aibu ya mwaka waliponyimwa mlo. Watano hao...
- by adminleo
- February 25th, 2019
Kutumia simu ukila kutakunenepesha – Utafiti
MASHIRIKA Na PETER MBURU BRAZIL Na NETHERLANDS WANASAYANSI sasa wanasema kuwa kutumia simu wakati wa kula kunaweza kumfanya mtu...
- by adminleo
- October 8th, 2018
Wahisani waagizwa kutii kanuni za KCPE wakitoa mlo
Na HAMISI NGOWA SERIKALI imewataka wahisani wanaopanga kutoa misaada ya chakula kwa watahiniwa wa Mtihani wa Kitaifa wa Shule za Msingi...
- by adminleo
- August 6th, 2018
Nusra afutwe kazi kwa kuonja mlo wa mdosi
Na DENNIS SINYO POLO mwenye tabia ya kuonjaonja chakula cha bosi wake, alijipata pabaya baada ya kupatikana peupe akiteremsha mchuzi wa...
- by adminleo
- May 24th, 2018
Mlo wa bei ghali wafanya kidosho ajipate singo
Na LEAH MAKENA KARIOBANGI, NAIROBI KIDOSHO mmoja mtaani hapa aliachwa mataani baada ya kushindwa kudhibiti tamaa yake ya kupenda...
- by adminleo
- April 11th, 2018
Lofa apasua kuni kama adhabu ya kula vya bwerere
Na TOBBIE WEKESA GIKOMBA, NAIROBI Kalameni mmoja aliwaacha watu vinywa wazi mkahawani alipodai kwamba hakuwa na hela za kulipia...