• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 1:47 PM

Mswada wa afya ya uzazi waendelea kuibua cheche

Na CHARLES WASONGA MAAKOFU wa Kanisa Katoliki wametofautiana na wanachama wa makundi ya kijamii watetea haki za afya ya uzazi...

Orengo akosoa Rais kuhusu mswada wa fedha

Na DICKENS WASONGA KIONGOZI wa wachache katika seneti James Orengo amemkosoa Rais Uhuru Kenyatta kwa kuingilia utendakazi wa Bunge...

Sababu za kuteuliwa miswada inayopendekeza wabunge wateuliwa kutoka bungeni

Na CHARLES WASONGA MPANGO wa kuwawezesha wabunge kuteuliwa kuwa mawaziri ulipigwa jeki bungeni baada ya afisi maalumu ya kamati ya bunge...

Mswada wapendekeza wanaotumia simu kucheza kamari wafungwe jela miaka miwili ama kulipa faini Sh2m

Na PETER MBURU HUENDA maelfu ya Wakenya wanaotumia simu zao kucheza kamari mitandaoni kwa kubashiri matokeo ya michezo wakafungiwa...

Mswada wa Jinsia wafeli mara ya nne mfululizo

Na CHARLES WASONGA WABUNGE Jumatano walikaidi vinara wa vyama vyao na kuangusha Mswada wa Jinsia kwa mara ya nne mfululizo. Kufeli...

2019: Bangi itahalalishwa Kenya mwaka huu?

Na CHARLES WASONGA MIJADALA kuhusu iwapo bangi inapasa kuhalalishwa au la ilichipuza katika bunge la kitaifa na lile la seneti mwaka wa...

Mswada wa Ushuru kupandisha bei ya bidhaa muhimu

Na CHARLES WASONGA BEI ya unga wa ugali, mikate na mihogo inatarajiwa kupanda ikiwa mswada uliowasilishwa bungeni mwezi Aprili...

Kamket amuonya Ruto kwa kuhujumu mswada wake

Na FLORAH KOECH MBUNGE wa Tiaty William Kamket Jumanne alimkashifu Naibu Rais William Ruto kwa kuhujumu mswada wake wa kubadilisha...

Makarani kuwasilisha mswada bungeni kulinda maslahi yao

NA PETER MBURU Makarani wa ofisini wanaunda mswada wa kuwasilisha mbele ya bunge la kitaifa ambao utasaidia kuinua viwango na maslahi ya...