• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 1:29 PM

Tabasamu Murang’a wakichimbiwa visima 100

Na CHRIS ADUNGO WAKAZI wa Kaunti ya Murang’a sasa wana kila sababu ya kutabasamu baada ya kampuni ya michezo ya kamari ya Mozzart...

Madiwani zaidi ya 50 Murang’a waelezea kuunga BBI

Na LAWRENCE ONGARO MADIWANI - MCAs - wapatao 50 kutoka Kaunti ya Murang'a wamesema kwa kauli moja kuwa mswada wa BBI ukiletwa katika...

Ziara ya Ruto yazua mauti

BENSON MATHEKA Na MWANGI MUIRURI ZIARA ya Naibu Rais William Ruto Kaunti ya Murang'a, Jumapili ilisababisha mauti baada ya fujo kuzuka...

Seneti yaamuru Murang’a inyimwe fedha kutokana na ‘ukaidi’ wa gavana wake

Na CHARLES WASONGA HUENDA kaunti ya Murang’a ikakosa kusambaziwa fedha kutoka Hazina ya Kitaifa mwaka huu ikiwa Waziri wa Fedha Ukur...

Gavana Mwangi wa Iria apigwa faini ya Sh500,000

Na MARY WANGARI GAVANA wa Murang'a amejipata mashakani baada ya Kamati ya Seneti kumpiga faini ya Sh500,000 kwa kukosa kuhudhuria vikao...

Mpasuko kisiasa ulichangia Uhuru kufuta ziara ya Murang’a – Kang’ata

Na CHARLES WASONGA SENETA wa Murang'a Irungu Kang'ata ameungama kwamba mgawanyiko miongoni mwa viongozi wa kisiasa katika kaunti hiyo...

Jinamizi la pombe hatari Murang’a

Na MWANGI MUIRURI KAUNTI ya Murang’a kwa muda sasa imekuwa ikekejeliwa kama iliyo na walevi ambao hutumiwa kujaribu makali ya kileo...

Mike Kamau: Msusi ambaye wanawake Murang’a wanamsifia

Na MWANGI MUIRURI BAADA ya kukamilisha elimu ya kidato cha nne mwaka wa 2015 na kupata alama ya C, Mike Kamau alikosa namna ya kusonga...

Kang’ata na Gavana Wa Iria warushiana cheche mbele ya Seneti

Na CHARLES WASONGA GAVANA wa Murang’a Mwangi wa Iria na Seneta wa kaunti hiyo Irungu Kang’ata wamerushiana cheche za maneno mbele ya...

MAJI MURANG’A: Wa Iria motoni kwa kudharau kamati ya Seneti

NA CHARLES WASONGA MASENETA Jumanne walimshutumu Gavana wa Murang'a Mwangi Wa Iria kwa kudhihirisha "kiburi na madharau" kwao kufuatia...

OBARA: Mzozo wa maji Murang’a ni ithibati ya viongozi wazembe

Na VALENTINE OBARA KWA miezi michache sasa tumeshuhudia malalamishi kutoka kwa baadhi ya viongozi wa Kaunti ya Murang'a kuhusu...

Mke wa mwalimu aliyeuawa kukaa seli

Na NDUNGU GACHANE MKE wa mwalimu Mkuu wa Shule ya Upili ambaye mwili wake ulipatikana Jumapili ukiwa umewekwa katika buti ya gari...