Tag: mutua
- by adminleo
- February 23rd, 2020
JAMVI: Ni nani atafaidika kwa maridhiano ya Mutua na Kalonzo?
BENSON MATHEKA na PIUS MAUNDU MARIDHIANO kati ya Kiongozi wa Wiper, Kalonzo Musyoka na Gavana wa Machakos Alfred Mutua yalichochewa na...
- by adminleo
- July 18th, 2019
Mutua, Raila wakutana na kujadili masuala ya ‘kupeleka taifa mbele’
Na CHARLES WASONGA HATUA ya Gavana wa Machakos Alfred Mutua kumtembelea kiongozi wa ODM Raila Odinga imepewa fasiri ya maandalizi ya...
- by adminleo
- July 24th, 2018
Kesi ya Mutua kuamuliwa Agosti 6
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya Juu itasikiza Agosti 6 kesi iliyowasilishwa na Gavana wa Machakos Dkt Alfred Mutua anayepinga uamuzi wa...
- by adminleo
- June 13th, 2018
Madiwani Machakos wataka Spika awe Kaimu Gavana
Na STEPHEN MUTHINI MADIWANI wa Machakos sasa wanamtaka Spika wa bunge la kaunti hiyo Florence Mwangangi kutwaa wadhifa wa ugavana baada...
- by adminleo
- June 12th, 2018
Korti yafanya Mutua ameze mate kukosa faini ya Sh10m za Wavinya
Na SAM KIPLAGAT MBALI na kubatilisha ushindi wa Gavana wa Machakos Alfred Mutua, Mahakama ya Rufaa pia ilimkatizia shamrashamra ya...
- by adminleo
- June 11th, 2018
Niachie ugavana uingie mbio za Ikulu, Wavinya amwambia Mutua
Na STEPHEN MUTHINI ALIYEKUWA mgombeaji wa kiti cha ugavana Kaunti ya Machakos, Bi Wavinya Ndeti amemtaka Gavana Alfred Mutua aendeleze...
- by adminleo
- April 10th, 2018
Mutua akejeliwa kujaribu kuzima ndoto ya Ruto 2022
GUCHU NDUNG’U na JOSEPH WANGUI GAVANA Alfred Mutua wa Kaunti ya Machakos, ameanza rasmi kampeni za kuwania urais mnamo 2022 katika...
- by adminleo
- April 8th, 2018
JAMVI: Wazika tofauti zao kisiasa, masaibu ya Mutua yaanza nyota yake ikiangamizwa!
Na WYCLIFFE MUIA KIONGOZI wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka na Gavana wa Kitui Charity Ngilu wamezika tofauti zao za kisiasa katika...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
Sitakubali tena kuwa mgombea mwenza – Kalonzo
Na KITAVI MUTUA KIONGOZI wa Wiper Jumatatu alitangaza hatakubali tena kuwa mgombea mwenza kwenye uchaguzi wa urais na kusisitiza...