• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 4:31 PM

Wazee wakemea viongozi kunyamazia mzozo kuhusu bahari

Na MAUREEN ONGALA WAZEE wa Kaya wanaotoka jamii ya Mijikenda na viongozi wa kidini wamewakashifu wanasiasa kutoka Pwani kutokana na...

Natembeya ‘apiga marufuku’ wanasiasa kuzuru Narok

Na SAMMY WAWERU KUFUATIA mzozo wa kijamii unaoendelea katika Kaunti ya Narok, Mshirikishi wa eneo la Bonde la Ufa George Natembeya...

Kenya yaanza mazungumzo ya kidiplomasia na Tanzania kuzuia uhasama

Na CHARLES WASONGA KENYA imeanza mazungumzo ya kidiplomasia na Tanzania kuzuia uhasama ambao yaelekea umechangiwa na hatua ya Kenya...

Mimi si mdogo jinsi ninavyoonekana, mshtakiwa aambia jaji

Na RICHARD MUNGUTI MWANAMUME mwenye umri wa miaka 18 ameshtakiwa kwa mauaji. Inadaiwa kwamba Muli Mukonzi alimuua James Mutua Mutuku...

Mzozo wa Iran kuumiza Kenya

Na WAANDISHI WETU WASIWASI umezuka nchini kuhusu uwezekano wa mzozo kati ya Iran na Amerika kuathiri hali ya maisha ya Wakenya. Kwa...

Gavana Dhadho ahimiza hatua za kiutu kusuluhisha mzozo wa mpaka

Na CHARLES WASONGA GAVANA wa Kaunti ya Tana River Dhadho Godhana amewataka viongozi wa kaunti ya Garrisa kukoma kueneza chuki na uhasama...

Kesi dhidi ya mbunge wa zamani yagonga mwamba

Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Mbunge wa Tetu na mwenyekiti wa Kamati ya Usalama na Uhusiano wa Kimataifa Bungeni, James Ndung’u...

Mzozo mkubwa baina ya binadamu na ndovu washuhudiwa Subukia

NA PHYLIS MUSASIA WAKAZI wa kijiji cha Kavilila kaunti ndogo ya Subukia katika Kaunti ya Nakuru wameelezea ghadhabu zao wakisema mamia...

Idadi ya watoto walioathirika kutokana na mzozo wa kisiasa Venezuela yaongezeka

Na AFP UMOJA WA MATAIFA IDADI ya watoto ambao wameathirika kutokana na mzozo wa kisiasa nchini Venezuela ambao wanahitaji misaada ya...

Kenya yaionya Tanzania kwenye mzozo wa pipi

Na BERNARDINE MUTANU Kenya imeipa makataa ya wiki mbili serikali ya Tanzania kufanyia udadisi bidhaa za Kenya kubainisha ikiwa...

Mzozo wa kilabu cha Simmers: Mmiliki ataka wakurugenzi wasukumwe jela

Na RICHARD MUNGUTI MMILIKI wa kilabu na mkahawa maarufu cha Simmers kilichobomolewa Ijumaa wiki iliyopita Bw Suleiman Murunga amewashtaki...