Tag: ngono
- by adminleo
- June 18th, 2019
Vijana wapendekeza wafundishwe kuhusu ngono na uzazi
Na FARHIYA HUSSEIN VIJANA eneo la Mombasa, wametaka maswala kuhusiana na masomo ya ngono kuzingatiwa zaidi shuleni. Vijana hao kati...
- by adminleo
- June 9th, 2019
Walimu wataka umri wa kuhalalisha ngono uwe miaka 20
Na MISHI GONGO MWENYEKITI wa Chama cha Kitaifa cha Walimu Wakuu wa Shule za Upili, Bw Kakhi Indimuli amependekeza umri wa kuruhusu watu...
- by adminleo
- June 9th, 2019
Nilifanya ngono nisipatwe na saratani, Askofu Deya ajitetea
Na CHARLES WASONGA ASKOFU Gilbert Deya aliyezongwa na sakata ya wizi wa watoto amefichua kuwa alishiriki mapenzi nje ya ndoa akiwa...
- by adminleo
- May 29th, 2019
Faini ya Sh1,500 kwa kuramba asali hadharani Uhuru Park
Na RICHARD MUNGUTI MWANAUME aliyekamatwa akishiriki ngono hadharani na mwanadada katika bustani ya Uhuru Park, Nairobi alitozwa faini ya...
- by adminleo
- May 29th, 2019
Mwanamume atozwa faini kwa kushiriki ngono hadharani
Na RICHARD MUNGUTI MWANAMUME aliyekamatwa akifanya tendo la kuonana kimwili na mpenziwe wa kike katika bustani ya Uhuru Park alitozwa...
- by adminleo
- May 19th, 2019
Kang’ata amkosoa Maraga kuhusu umri wa kushiriki ngono
NA NDUNGU GACHANE SENETA wa Murang’a Irungu Kanga’ta Jumapili amekejeli matamshi ya Jaji Mkuu David Maraga kwamba magereza yamejazwa...
- by adminleo
- May 15th, 2019
Akamatwa kwa kufanya ngono na mbwa 158 na paka 17
MASHIRIKA Na PETER MBURU MFANYAKAZI wa shirika la kuwatunza mifugo alikamatwa wiki hii, akidaiwa kuwa amewadhulumu kingono...
- by adminleo
- April 2nd, 2019
MATHEKA: Suala la umri wa kushiriki ngono lijadiliwe kwa makini
Na BENSON MATHEKA MJADALA ambao umekuwa ukiendelea tangu majaji wa Mahakama ya Rufaa walipopendekeza umri wa wasichana kukubali kwa...
- by adminleo
- March 26th, 2019
Hisia kali kuhusu pendekezo watoto wa miaka 16 kuruhusiwa kufanya ngono
Na PETER MBURU PENDEKEZO la Majaji wa Mahakama ya Rufaa kuwa umri wa watoto kuruhusiwa kujihusisha na ngono unafaa kupunguzwa kutoka...
- by adminleo
- February 25th, 2019
Banglandesh yazima tovuti 20,000 za ngono
MASHIRIKA Na PETER MBURU SERIKALI ya Bangladesh imezima takriban tovuti 20,000 ambazo zimekuwa zikipeperusha mambo ya ngono na michezo...
- by adminleo
- February 24th, 2019
Wabunge wanne kufika kwa DCI kuhusu video ya ngono
Na KIPCHUMBA SOME WABUNGE wanne wameitwa na Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) kuandikisha taarifa kuhusiana na video feki ya ponografia...
- by adminleo
- February 14th, 2019
Maafisa wa polisi mashakani kwa kugeuza gari la serikali gesti
MASHIRIKA Na PETER MBURU SUSSEX, UINGEREZA MAAFISA wawili wa polisi; wa kiume na wa kike wako kwenye hatari ya kupigwa kalamu, baada...