Tag: nyoro
- by adminleo
- January 30th, 2020
Spika wa bunge la Kiambu aahirisha sherehe ya kumuapisha Nyoro gavana
Na MWANDISHI WETU SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Kiambu Stephen Ndichu ameahirisha hafla ya kumuapisha James Nyoro awe Gavana baada ya jaji...
- by adminleo
- January 30th, 2020
Nyoro kuteua naibu wake ndani ya siku 14
Na CHARLES WASONGA GAVANA mpya wa Kiambu James Nyoro atalazimika kuteua naibu wake ndani ya kipindi cha siku 14 ijayo kulingana na...
- by adminleo
- October 11th, 2019
Nyoro aomba ushirikiano kuiboresha Kiambu
Na LAWRENCE ONGARO KUNA haja ya kufanya ushauri na wafanyabiashara wote wa Kiambu ili kuboresha hali ya uchumi katika kaunti...
- by adminleo
- September 22nd, 2019
Nyoro aadhibu mawaziri wa Waititu
Na SIMON CIURI NAIBU Gavana wa Kiambu, Bw James Nyoro ameanza kudhihirisha mamlaka yake kama kaimu kiongozi wa kaunti baada ya...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Tangatanga wamtishia Mutyambai, wataka Matiang’i ajiuzulu
IBRAHIM ORUKO na NDUNGU GACHANE WABUNGE wa Chama cha Jubilee wanaoegemea mrengo wa Tangatanga, sasa wametishia kumwadhibu Inspekta Mkuu...
- by adminleo
- September 10th, 2019
MATHEKA: Viongozi wa makanisa wawazime wanasiasa
Na BENSON MATHEKA Vurumai zilizotokea katika kanisa la Gitui, Kaunti ya Murang'a mnamo Jumapili ambapo wanasiasa wa makundi mawili...
- by adminleo
- September 10th, 2019
WANDERI: Kanisa lisiwe mateka wa wanasiasa nchini
Na WANDERI KAMAU UTAKATIFU wa maabadi ni nguzo kuu inayozingatiwa na dini zote hapa duniani. Licha ya tofauti za kimafundisho...
- by adminleo
- September 10th, 2019
Siasa kanisani zapigwa marufuku
Na NDUNGU GACHANE ASKOFU wa Kanisa Katoliki Dayosisi ya Murang’a, amepiga marufuku wanasiasa dhidi ya kuhudhuria ibada kwenye makanisa...
- by adminleo
- September 9th, 2019
Maandamano Murang’a baada ya Nyoro kukamatwa
NDUNGU GACHANE na CHARLES WASONGA SAA chache baada ya mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro kukamatwa Jumatatu jioni katika Kanisa la...
- by adminleo
- September 8th, 2019
Sarakasi za Nyoro kanisani zamletea karaha
Na NDUNG GACHANE VIONGOZI wa makundi ya Kieleweke na Tangatanga Jumapili walikabiliana vikali kwenye hafla ya mchango wa harambee katika...
- by adminleo
- August 10th, 2019
Nyoro adai jopo la BBI ni njama ya kumfaa Raila tu
Na NDUNGU GACHANE MBUNGE wa Kiharu Ndindi Nyoro, amepuuzilia mbali juhudi za Jopo la Maridhiano (BBI) kubadili Katiba, akisema kuwa...
- by adminleo
- August 9th, 2019
Nyoro amnyorosha Baba Yao
Na RICHARD MUNGUTI NDOTO ya Gavana wa Kiambu, Ferdinand Waititu kurudi kazini imegonga mwamba baada ya Mahakama Kuu kuamuru asalie...