Tag: nys
- by adminleo
- November 15th, 2018
KASHFA YA NYS: Malumbano mahakamani
Na RICHARD MUNGUTI KULIZUKA malumbano makali baina ya mawakili wanaowatetea washukiwa 37 katika kashfa ya Sh8bilioni ya shirika la huduma...
- by adminleo
- November 13th, 2018
Mahakama yamkubalia Anne Ngirita kwenda kutibiwa
Na RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA mkuu katika kashfa ya NYS Bi Anne Wambere Wanjiku Ngirita Jumanne aliruhusiwa kwenda hospitali na mahakama...
- by adminleo
- November 1st, 2018
SAKATA YA NYS: Kesi yaanza rasmi
Na RICHARD MUNGUTI KESI ya kashfa ya Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS) dhidi ya washtakiwa 37 iliyopelekea zaidi ya...
- by adminleo
- October 23rd, 2018
Mswada mpya jikoni kuruhusu NYS kuhudumu KDF
Na VALENTINE OBARA BARAZA jipya litakalobuniwa kusimamia Shirika la Huduma za Vijana kwa Taifa (NYS), litapewa mamlaka ya kuamua...
- by adminleo
- October 22nd, 2018
Mswada wa NYS kuwasilishwa bungeni
Na BERNARDINE MUTANU BARAZA la Mawaziri limeidhinisha mkataba kutoka Wizara ya Vijana na Huduma za Umma. Mkataba huo ulibuniwa kwa lengo...
- by adminleo
- August 23rd, 2018
Kesi ya tatu ya sakata NYS kuanza Februari 2019
Na RICHARD MUNGUTI MOJA ya kesi tatu dhidi ya waliokuwa maafisa wa shirika la huduma ya vijana kwa taifa ya sakata ya Sh469 milioni...
- by adminleo
- August 16th, 2018
SAKATA YA NYS: Kesi kuanza kusikizwa Januari 2019
Na RICHARD MUNGUTI KESI ya sakata ya Sh469 milioni katika Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS) dhidi ya aliyekuwa katibu mkuu Bi...
- by adminleo
- August 8th, 2018
NYS: Agizo DPP atenganishe kesi kumi mara tatu
Na Richard Munguti MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Bw Noordin Haji Jumanne aliamriwa atenganishe mara tatu kesi kumi za kashfa ya...
- by adminleo
- July 18th, 2018
Mashahidi 43 kuitwa kwenye kesi ya NYS
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa mashtaka ya umma (DPP) Jumatano alisema ataita mashahidi 43 kutoa ushahidi katika kesi inayowakabili...
- by adminleo
- July 11th, 2018
Hamtawahi kusikia wizi tena NYS, serikali yaahidi Wakenya
Na CHARLES WASONGA SERIKALI imewahakikishia Wakenya kuwa Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS) halitakumbwa na kashfa nyingine...
- by adminleo
- June 22nd, 2018
SAKATA YA NYS: Dhamana ya Lillian Omollo yakubaliwa,aondoka gerezani
Na RICHARD MUNGUTI KATIBU mkuu Wizara ya Utumishi wa Umma, Vijana na Masuala ya Jinsia Bi Lillian Omollo alikuwa wa kwanza kuruhusiwa...
- by adminleo
- June 21st, 2018
Mlima wa nakala za ushahidi kwenye kesi ya wizi NYS
Na RICHARD MUNGUTI HAKIMU anayesikiza kesi ya ufisadi dhidi ya washukiwa 41 wa sakata ya shirika la huduma ya vijana kwa taifa NYS...