• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 10:55 AM

MITAMBO: Smoker itakusaidia kukaribia mzinga na kuvuna asali murwa

NA RICHARD MAOSI WAKULIMA wengi huingilia ufugaji wa nyuki kwa lengo la kurina asali. Ufugaji huo unatambuliwa kama mojawapo ya...

Jamii yalia kitegauchumi kulemazwa

Na KALUME KAZUNGU UFUGAJI wa nyuki miongoni mwa jamii ya Waboni, Kaunti ya Lamu huenda ukaangamia endapo mikakati haitachukuliwa...

Nyuki wavamia na kumuua mzee aliyehudhuria mazishi ya mjukuu

Na LAWRENCE ONGARO RUNDO la nyuki lilivuruga mazishi katika kijiji cha Makwa kilichoko Gatundu Kaskazini ambapo mzee mmoja alifariki na...

AKILIMALI: Ufugaji nyuki washika kasi biashara ya asali ikinoga

Na SAMMY WAWERU BLOSSOMS & Beehives ni duka la asali katika Soko la Wakulima na Wafugaji la Nairobi Farmers Market lililoko katikati...

Wavamiwa na nyuki baada ya kuiba mtungi wa gesi na televisheni

Na SAMMY WAWERU WANAUME wawili mtaa wa Langas, Eldoret wamelazimika kurejesha mtungi wa gesi na televisheni waliyoiba baada ya kuvamiwa...

Wang’atwa na nyuki wakila uroda

NA JOHN MUSYOOKI MBIUNI, MACHAKOS  KIOJA kilishuhudiwa hapa, jombi na kimada wa mtaani walipovamiwa na nyuki wakirushana roho ndani...

Biashara ya mizinga ilivyomwinua kiuchumi

NA RICHARD MAOSI Mchango wa kufuga nyuki ni mkubwa katika azma ya wakulima wadogo kujiongezea kipato, ikiaminika kuwa hakuna kiumbe...

Nyuki wasababisha watahiniwa wa kiume kufanyia mtihani katika shule ya wasichana

NA KALUME KAZUNGU WATAHINIWA 50 wa mtihani wa kitaifa wa darasa la nane (KCPE) walijeruhiwa Jumatano bumba la nyuki lilipoanguka ghafla...

MAZINGIRA NA SAYANSI: Umuhimu wa nyuki kwa chakula na mazingira

Na LEONARD ONYANGO KUNA uwezekano kwamba serikali inachangia katika kudorora kwa uzalishaji wa chakula nchini. Hii inatokana na hatua...

AKILIMALI: Licha ya ulemavu wake, yuko mstari wa mbele kufuga nyuki

NA PETER CHANGTOEK LICHA ya ulemavu alionao, amekuwa akishughulikia ufugaji wa nyuki kwa muda wa zaidi ya miaka 20. Bw Samwel Tangus,...

KURUNZI YA PWANI: Nyuki sasa watumiwa kupambana na mavamizi ya ndovu

NA BRIAN OCHARO TATIZO la wanyama kuingia katika mashamba ya watu katika kaunti ya Taita Taveta limekuwa kero kwa wakazi wa eneo hilo...

Nyuki wavamia kijiji na kuua mwanamke na kondoo wake

Na SAMMY KIMATU MWANAMKE mwenye umri wa miaka 65 amefariki baada ya kushambuliwa na nyuki katika kijiji kimoja kaunti ya...