Tag: nyumba
Auza nyumba ya babake akimdai Sh200,000
Na STEPHEN ODUOR MWANAMUME katika eneo la Garsen, Kaunti ya Tana River ameshangaza wenyeji kwa kuuza nyumba ya babake akimdai...
- by adminleo
- September 22nd, 2019
Wafanyakazi wakerwa na KPA kuuza nyumba
Na KNA na MWANDISHI WETU WAFANYAKAZI wa Halmashauri ya Bandari Kenya (KPA) wamekashifu vikali hatua ya usimamizi wa halmashauri hiyo ya...
- by adminleo
- June 10th, 2019
Kesi ya ada ya nyumba yafikishwa kwa Maraga
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya kuamua mizozo baina ya waajiri na wafanyakazi (ELRC) Jumatatu iliamuru kesi ya ada ya nyumba ipelekwe kwa...
- by adminleo
- May 22nd, 2019
Rais akagua miradi ya nyumba Nairobi
PSCU Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta Jumatano alifanya ziara ya ghafla kukagua miradi ya ujenzi wa nyumba na barabara Jijini...
- by adminleo
- May 20th, 2019
Muda wa marufuku ya ada ya nyumba waongezwa
Na SAM KIPLAGAT SERIKALI Jumatatu ilipata pigo baada ya Mahakama ya Leba kuongeza muda wa marufuku inayoizuia kukata asilimia 1.5 ya...
- by adminleo
- May 13th, 2019
Ikulu yakemewa kuzidi kutetea mradi wa nyumba
Na PETER MBURU WAKENYA wameikaanga Ikulu kwa kuendelea kutetea mpango wa kuwakata watu pesa ili kufadhili ujenzi wa nyumba za bei nafuu,...
- by adminleo
- May 1st, 2019
ADA YA UJENZI: Atwoli atasaliti wafanyakazi?
Na LEONARD ONYANGO WAKENYA wanasubiri kwa hamu na ghamu kuona ikiwa Rais Uhuru Kenyatta atabadili msimamo wake kuhusiana na ada ya...
- by adminleo
- April 28th, 2019
Atwoli akemea FKE kwa kupinga ushuru wa ujenzi wa nyumba
COLLINS OMULO na CHARLES WASONGA KATIBU Mkuu wa Muungano wa Wafanyakazi Nchini (COTU), Francis Atwoli, ameshambulia Shirikisho la...
- by adminleo
- April 25th, 2019
MBURU: Mazoea ya serikali kulazimishia wananchi mambo yanakera
Na PETER MBURU SERIKALI imekuwa na mtindo wa kuwawekelea Wakenya mizigo ya kiuchumi kila inapotaka, bila kuwaomba ushauri wala kujali...
- by adminleo
- April 25th, 2019
Pata potea ya nyumba nafuu
Na PETER MBURU MATUMAINI ya Wakenya watakaokatwa pesa kwenye mishahara yao kufadhili ujenzi wa nyumba nafuu chini ya mpango wa serikali...
- by adminleo
- April 18th, 2019
BONGO LA BIASHARA: Sh100 za chama kila wiki zajengea wanabodaboda nyumba
Na PHYLIS MUSASIA SH100 walizojikakamua kukusanya kila wiki kutoka kwa jasho la kuendesha bodaboda licha ya purukushani na askari wa...
- by adminleo
- April 18th, 2019
Wakenya wachemka kupinga ada ya ujenzi wa nyumba
Na WAANDISHI WETU WAKENYA Jumatano walionyesha ghadhabu kubwa kuhusiana na mpango wa serikali kuwatoza ada ya Mpango wa Kitaifa wa...