Tag: obara
- by adminleo
- January 7th, 2019
OBARA: Kampeni za mapema za urais zimefungua macho wananchi
Na VALENTINE OBARA VIONGOZI wengi wa kisiasa wamelaumiwa kwa kuanzisha kampeni za mapema za Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika 2022...
- by adminleo
- December 24th, 2018
OBARA: Vijana waliofuzu vyuoni watafute njia za kujikimu
Na VALENTINE OBARA KWA wiki kadhaa mwezi huu hadi mwishoni mwa wiki iliyopita, mamia ya maelfu ya wanafunzi walifuzu kwa shahada...
- by adminleo
- December 17th, 2018
OBARA: Muafaka usiwe siasa tu bali uinue maisha ya raia
Na VALENTINE OBARA USHIRIKIANO wa Rais Uhuru Kenyatta na Kiongozi wa Chama cha ODM Raila Odinga, unaazidi kusifiwa kutoka pande...
- by adminleo
- November 28th, 2018
OBARA: Masaibu haya yatamfaa Ruto katika safari ya Ikulu 2022
Na VALENTINE OBARA KWA miezi kadhaa sasa, Naibu Rais William Ruto amejikuta kwenye kona mbaya huku akiwekewa visiki vya kila aina...
- by adminleo
- October 22nd, 2018
OBARA: Haisaidii kusubiri ajali ndipo sheria zitekelezwe
Na VALENTINE OBARA RIPOTI kuwa serikali inapanga kuanzisha msako mkali dhidi ya wakiukaji wa sheria za barabarani ilipokelewa vyema na...
- by adminleo
- October 15th, 2018
OBARA: Mzozo wa maji Murang’a ni ithibati ya viongozi wazembe
Na VALENTINE OBARA KWA miezi michache sasa tumeshuhudia malalamishi kutoka kwa baadhi ya viongozi wa Kaunti ya Murang'a kuhusu...
- by adminleo
- October 8th, 2018
OBARA: Kaunti ya Mombasa inakosea kupuuza wawekezaji wadogo
Na VALENTINE OBARA SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa kwa miezi kadhaa sasa imekuwa ikijivunia jinsi utalii unavyofufuliwa katika kaunti...
- by adminleo
- October 2nd, 2018
OBARA: Uboreshaji katiba wataka maarifa, si hisia
Na VALENTINE OBARA MJADALA kuhusu mabadiliko ya katiba umezidi kushika kasi katika miezi ya hivi majuzi. Mdahalo huo ulikuwa umetulizwa...
- by adminleo
- September 24th, 2018
OBARA: Kinaya cha mwaka vijana kumrai Raila awakomboe
Na VALENTINE OBARA HAYAWI hayawi hatimaye huwa. Licha ya kilio kutoka kwa wananchi wengi hasa wenye mapato ya chini, mswada wa fedha...
- by adminleo
- August 6th, 2018
OBARA: Twahitaji muujiza wa pili ili mwafaka ufanikiwe
Na VALENTINE OBARA Baada ya kusubiri kwa miezi mitano, hatimaye mojawapo ya malengo makuu ya muafaka baina ya Rais Uhuru Kenyatta na...
- by adminleo
- February 12th, 2018
OBARA: Mzaha huu wa viongozi hautamaliza majanga
[caption id="attachment_1299" align="aligncenter" width="800"] Moto katika mtaa wa Kijiji, Langata, Kaunti ya Nairobi wawaacha wakazi kwa...