Tag: omtatah
- by adminleo
- September 25th, 2018
Wakenya sasa wamlilia Okiya Omtatah awakomboe, wamfadhili kupitia M-Pesa
Na PETER MBURU MWANAHARAKATI Okiya Omtatah ambaye amegeuka mtetezi mkuu wa Wakenya kwenye masuala ya umuhimu wa kitaifa amezidi kupokea...
- by adminleo
- September 3rd, 2018
BEI GHALI: Omtatah afika mahakamani kuokoa Wakenya
Na RICHARD MUNGUTI MWANAHARAKATI Okiya Omtatah Jumatatu aliishtaki Serikali kwa kuongeza ushuru wa thamani ya ziada (VAT) kwa asilimia 16...
- by adminleo
- April 26th, 2018
Makamishna 3 waliojiuzulu warudishe magari ya serikali – Omtatah
Na SAM KIPLAGAT MWANAHARAKATI Okiya Omtatah sasa anataka mahakama kushinikiza makamishna watatu wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka...
- by adminleo
- March 20th, 2018
Omtatah afika kortini kupinga sheria mpya kwa madereva
Na RICHARD MUNGUTI MWANAHARAKATI Okiya Omtatah amewasilisha kesi mahakamani kupinga kuzinduliwa kwa maagizo mapya kuhusu madereva. Bw...
- by adminleo
- March 14th, 2018
Omtatah aokoa mabilioni ya walipa ushuru
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu Jumanne ilimwokoa mlipa ushuru ilipofutilia mbali kandarasi ya Sh17 bilioni zilizokuwa zitozwe vinywaji...
- by adminleo
- February 20th, 2018
Omtatah amletea matata wakili Ogeto
[caption id="attachment_1825" align="aligncenter" width="800"] Wakili Kennedy Ogeto aliyeteuliwa kuwa wakili mkuu wa Serikali na Rais Uhuru...