Tag: oparanya
ODM yakana Oparanya aelekea kwa Ruto
Na BENSON MATHEKA CHAMA cha ODM, kimekanusha ripoti kwamba naibu kiongozi wake, Bw Wycliffe Ambetsa Oparanya amekisaliti na anapanga...
Malala na Oparanya wazozania kura ya Matungu
Na SHABAN MAKOKHA MGOGORO mkali wa kisiasa unatokota katika Kaunti ya Kakamega kati ya Gavana Wycliffe Oparanya na Seneta wa kaunti hiyo...
CoG yashutumiwa kwa kuzima matangazo ya biashara na NMG
Na CHARLES WASONGA BARAZA la Vyombo vya Habari Nchini (MCK) limelikashifu baraza la magavana (CoG) kwa kuagiza serikali za kaunti kuzima...
- by adminleo
- June 29th, 2020
Madiwani sitisheni wimbi la kuwaondoa magavana, Oparanya arai
Na CHARLES WASONGA MWENYEKITI wa Baraza la Magavana (CoG) ambaye pia ni Gavana wa Kakamega Wycliffe Oparanya na Waziri wa Ugatuzi Eugene...
- by adminleo
- January 4th, 2020
Magavana wataka Wizara ya Fedha ifuate maagizo
Na NDUNGU GACHANE BARAZA la Magavana (COG) sasa linataka Wizara ya Fedha kuheshimu uamuzi wa Mahakama na kutuma mgao wa pesa kwa...
- by adminleo
- November 2nd, 2019
Oparanya akashifu wakaguzi wa vitabu vya fedha
Na MWANDISHI WETU MWENYEKITI wa Baraza la Magavana (CoG) Wycliffe Oparanya amewashutumu baadhi ya wakaguzi wa vitabu vya fedha dhidi ya...
- by adminleo
- July 25th, 2019
Nyumba ya Oparanya ya Sh70m yatengewa Sh10m zaidi
NA BENSON AMADALA SERIKALI ya Kaunti ya Kakamega imetenga Sh10 milioni kwenye bajeti yake ya mwaka wa kifedha 2019/20 kukamilisha ujenzi...
- by adminleo
- June 26th, 2019
Nipe nafasi niwanie urais 2022, Oparanya amwambia Raila
Na PETER MBURU GAVANA wa Kakamega Wycliffe Oparanya sasa anasema eneo la magharibi limechoka kuwa chini ya kivuli cha kiongozi wa chama...
- by adminleo
- May 13th, 2019
Ziara ya Raila nyumbani kwa Oparanya yaibua maswali
BENSON AMADALA na CHARLES WASONGA ZIARA ya kiongozi wa ODM Raila Odinga nyumbani kwa Gavana wa Kakamega imewaacha wengi na maswali baada...
- by adminleo
- April 8th, 2019
Oparanya alalama kiwango cha elimu nchini kinadorora
NA SHABAN MAKOKHA GAVANA wa Kaunti ya Kakamega, Wycliffe Oparanya, amesikita kwamba kiwango cha elimu nchini kinaendelea kushuka, baada...
- by adminleo
- February 19th, 2019
Mimi si mwandani wa Ruto – Oparanya
Na Ibrahim Oruko MWENYEKITI wa Baraza la Magavana (CoG) Wycliffe Oparanya amekanusha ripoti kwamba yu miongoni mwa washirika wa karibu...
- by adminleo
- January 23rd, 2019
2022: Cheo kipya cha Oparanya kitang’arisha nyota yake kisiasa?
Na CHARLES WASONGA KUCHAGULIWA kwa Gavana wa Kakamega Wycliffe Ambetsa Oparanya kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Magavana (CoG) kumemweka...