• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 12:30 PM

Origi awakomboa Reds tena

MILAN, ITALIA Na MASHIRIKA MBELGIJI Divock Origi alifuma wavuni kichwa kisafi Liverpool ikiandikisha historia kwa kuwa timu ya kwanza...

Origi abeba Liverpool dhidi ya Wolves ligini

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Divock Origi alitokea benchi na kufungia Liverpool bao la pekee na la ushindi dhidi ya Wolves mwishoni mwa...

Kipa Origi akoseshwa raha siku yake ya kuzaliwa akiwa michumani mwa Harambee Stars ikibwagwa na Comoros

Na GEOFFREY ANENE KIPA Arnold Origi alikuwa na siku mbaya ya kuzaliwa kwake alipofungwa mabao mawili timu ya Kenya ikibwagwa 2-1 na...

Spurs sasa yamtaka Origi kuimarisha mashambulizi

Na GEOFFREY ANENE TOTTENHAM Hotspur sasa inatafuta huduma za Divock Origi kutatua idara yake ya mashambulizi baada ya mchana-nyavu matata...

Origi auzwe haraka iwezekanavyo, mashabiki wa Liverpool wasema

Na GEOFFREY ANENE MASHABIKI wa Liverpool FC wamekukosa subira na mshambuliaji Divock Origi, ambaye anamezewa mate na Fulham na...

Fulham yamezea mate huduma za Divock Origi

Na GEOFFREY ANENE MBELGIJI Divock Origi anamezewa mate na klabu ya Fulham, ripoti nchini Uingereza zinasema. Mshambuliaji huyu wa...

KOMBE LA DUNIA: Ubelgiji yamwacha nje Origi

Na GEOFFREY ANENE MKENYA wa kwanza na wa pekee kuwahi kufunga bao katika Kombe la Dunia, Divock Origi hatashiriki makala ya mwaka 2018...