• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 12:15 PM

Ajenti Mino Raiola asema Pogba si wa kujiengua kambini mwa Manchester United hivi karibuni

Na CHRIS ADUNGO WAKALA Mino Raiola amesema kwamba mteja wake Paul Pogba hatatiwa na Manchester United mnadani muhula huu na mazungumzo...

ASHUKA BEI SH4B: Coronavirus yashusha bei ya Pogba kwa Sh4 bilioni

Na MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza MANCHESTER United imetangaza kukata bei ya Paul Pogba kuwa Sh9.2 bilioni kabla ya kipindi kijacho...

Upo uwezekano wa Manchester United kuagana na Paul Pogba

Na GEOFFREY ANENE TETESI mpya zimeibuka kuhusu uwezekano wa Manchester United kuagana na Paul Pogba baada ya kiungo huyo kukutana na...

Manchester United yazidi kukaa ngumu kuhusu Pogba

Na MASHIRIKA MANCHESTER United haitakubali ofa yoyote kwa mchezaji wake Paul Pogba kabla ya kipindi cha uhamisho cha Bara Ulaya kufungwa...

Solskjaer asisitiza Pogba hatauzwa

Na MASHIRIKA KOCHA Ole Gunnar Solskjaer wa Manchester United amesema hawatamuachilia kiungo Paul Pogba kuondoka katika klabu hiyo kwa...

Mourinho guu moja tu kurudi kambi ya Real

Na CHRIS ADUNGO KUKOSA kwa kiungo Paul Pogba kuingia katika sajili rasmi ya Real Madrid msimu huu na jaribio la kumfurusha Gareth Bale...

Pogba, Lingard waonekana wakizozana

Na MASHIRIKA na CECIL ODONGO NYOTA wa Manchester United Paul Pogba na mshambulizi wa timu hiyo Jesse Lingard, walionekana kwenye...

Pogba alilia ruhusa ya kuhama Manchester United

Na MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza KIUNGO Mfaransa, Paul Pogba amesema wakati wake wa kuagana na Manchester United umefika, na hakuna...

PESA KWANZA: United yatoa onyo kuhusu uhamisho

Na MASHIRIKA MANCHESTER United imetuma onyo kali kwa klabu zinazomezea mate kiungo wake nyota Paul Pogba baada ya kuzitangazia...

Manchester United wasaka kizibo cha Pogba

Na MASHIRIKA MANCHESTER, UINGEREZA MANCHESTER United wameanza mipango ya kutafuta kizibo cha kiungo Paul Pogba ambaye anatazamiwa...

Pogba kupokezwa ‘hongo’ ya unahodha asihamie Real Madrid

NA CECIL ODONGO KAMA njia ya kumshawishi asalie ugani Old Trafford, duru zinaarifu kwamba Manchester United inapanga kumpa utepe wa...

Pogba awataka ‘Mashetani Wekundu’ waitie Barcelona adabu

NA CECIL ODONGO KIUNGO wa Manchester United Paul Pogba amesema timu hiyo lazima ijiimarishe iwapo inalenga kuibandua Barcelona kwenye...