• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 5:07 PM

Raila hatarini kusalia pweke katika upinzani

NA WANDISHI WETU MADAI ya usaliti na mikakati ya Rais William Ruto kusaka umaarufu katika ngome za upinzani vinatishia kumwacha kinara...

Ruto, Raila wang’ang’ania IEBC

NA MOSES NYAMORI VUTA nikuvute imezuka kati ya Rais William Ruto na kiongozi wa Azimio Raila Odinga kuhusiana na mswada unaopendekeza...

Mnikumbuke wiki ijayo, Raila asihi

NA JAMES MURIMI MWANIAJI urais wa chama cha Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga anasisitiza kuwa Wakenya wanapaswa kuchagua kati ya...

Raila alaani fujo huku wafuasi wa wagombeaji ugavana wakikabiliana

NA PIUS MAUNDU KINARA wa ODM, Raila Odinga amelaani vurugu iliyotokea Kaunti ya Machakos. Akizungumza Ijumaa katika hafla ya kampeni,...

Fanya fujo uone, Ruto aonya Raila

NA JUMA NAMLOLA NAIBU Rais William Ruto ametoa onyo kali kwa mgombeaji urais wa chama cha Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga...

Raila alilia ngome yake isimwangushe uchaguzini Agosti

NA GEORGE ODIWUOR MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya amesihi wakazi katika ngome yake ya Nyanza wajitokeze kwa wingi...

Presha kwa Raila

NA LEONARD ONYANGO UCHAGUZI Siku moja baada ya kinara wa Narc-K, Martha Karua kumeza chambo cha mwaniaji urais kwa tikiti ya Azimio...

Raila atua Uingereza kuosha tope la Ruto

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha ODM na mgombea urais wa muungano wa Azimio La Umoja Raila Odinga, anazuru Uingereza katika ziara...

Vita vya magavana, Kalonzo pigo kwa Raila Ukambani

Na PIUS MAUNDU VITA vya ubabe vinavyoendelea kati ya magavana watatu wa eneo la Ukambani kwa upande mmoja na viongozi wa Wiper kwa...

Historia yawafaa Ruto, Raila 50:50

Na CHARLES WASONGA HISTORIA ya kinyanga’anyiro cha urais nchini inaonyesha ushindi wa Agosti 9 unaweza kwenda upande wowote kati ya...

Raila na Ruto wararuana vikali Mlimani

Na WAANDISHI WETU NAIBU Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga jana walivamia eneo la Mlima Kenya kusaka kura za urais huku...

Raila kupokea wabunge wa ANC Murang’a

Na LEONARD ONYANGO KINARA wa Azimio la Umoja Raila Odinga leo Jumamosi anatarajiwa kutumia mkutano wake uwanjani Ihura, Kaunti ya...