• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 6:47 AM

Raila kushiriki NDC ya Wiper

Na JUSTUS OCHIENG KIONGOZI wa chama cha ODM Raila Odinga, leo anatarajiwa kuhudhuria kongamano la kitaifa la wajumbe wa chama cha Wiper...

Ngome 4 zawanyima usingizi

Na BENSON MATHEKA WAGOMBEAJI WAKUU wa urais kwenye uchaguzi mkuu wa 2022, Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga,...

Mchujo wamtia Raila baridi

Na WAANDISHI WETU KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, ameonyesha wasiwasi mkubwa kuhusu uwezekano wa umaarufu wa chama hicho...

Raila aahidi kuigeuza Lamu iwe ‘Dubai ya Afrika’

Na KALUME KAZUNGU KIONGOZI wa ODM, Raila Odinga, ameahidi kusukuma kuanzishwa kwa viwanda vikubwa vikubwa Lamu na kulibadilisha eneo...

Raila ataka Chebukati kuomba Kenya radhi

Na LEONARD ONYANGO KIONGOZI WA ODM Raila Odinga sasa anamtaka mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Wafula Chebukati,...

Raila kutangaza ikiwa atawania urais Desemba 9

Na CHARLES WASONGA WAZIRI Mkuu wa zamani Raila Odinga ametangaza kuwa atatangaza rasmi azma yake ya urais mnamo Desemba 9,...

Uhuru aliwapuuza waliotaka nishtakiwe kwa kosa la uhaini – Raila

Na CHARLES WASONGA HATIMAYE kiongozi wa ODM amefichua kuwa ni Rais Uhuru Kenyatta aliyemwokoa kutokana na hatari ya kushtakiwa kwa kosa...

Raila atarajiwa Nyandarua kwa kampeni kali

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga anatarajiwa kuhutubia msururu wa mikutano 10 katika eneo la Mlima Kenya kuanzia...

ODM Magharibi wataka tiketi ya Raila-Oparanya

Na SHABAN MAKOKHA KINARA wa ODM Raila Odinga anakabiliwa na kibarua kigumu cha kumteua mgombeaji mwenza wake huku wandani wake kutoka...

Walilia vijana kupiga Raila jeki kwa kujisajili kura

Na GEORGE ODIWUOR WASHIRIKA wa Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga, wamewalilia vijana wa Nyanza na Mlima Kenya,...

Raila alilia vijana Nyanza wajisajili kwa kura za 2022

Na WAANDISHI WETU KINARA wa ODM, Raila Odinga jana alirejea nyumbani kuwalilia vijana katika eneo la Nyanza kujisajili kuwa wapigakura...

CECIL ODONGO: Raila akiacha dhana ya ‘mradi’ ishike atajilaumu

Na CECIL ODONGO KINARA wa ODM Raila Odinga na wandani wake wanafaa waweke mikakati ya kukabiliana na dhana inayoendelezwa na mrengo wa...