• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 3:04 PM

Reggea ilizma Ajenda Nne Kuu za Rais – Ruto

Na SAMMY WAWERU SALAMU za maridhiano kati ya Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga zilichangia kusambaratika kwa mipango...

Siwezi kufanya kazi na Raila, Ruto asema

Na SAMMY WAWERU NAIBU wa Rais William Ruto amepuuzilia mbali uwezekano wake kushirikiana na kiongozi wa ODM Raila Odinga katika mahesabu...

Nilipokuwa Naibu Rais kazi bora ilifanyika – Ruto

Na SAMMY WAWERU NINAHESHIMU uamuzi wa Rais Uhuru Kenyatta kunivua kofia la majukumu yangu kama msaidizi wake, Naibu Rais William Ruto...

Ruto akatwa mbawa

WANDERI KAMAU na CHARLES WASONGA MASWALI yameibuka kuhusu ikiwa maafisa wakuu katika Afisi ya Naibu Rais William Ruto walikosa...

Kumzuilia Ruto ni sawa na jinsi Miguna alihangaishwa, adai Murkomen

Na WINNIE ONYANDO KUZUILIWA kwa Naibu Rais Dkt William Ruto Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA) kusafiri kwenda Uganda kumewakera...

Ruto afaulu kunusuru UDA baada ya mzozo kutatuliwa

Na BENSON MATHEKA MZOZO ambao ulitishia kumpokonya Naibu Rais William Ruto chama cha United Democratic Alliance (UDA)...

Hamwezi kuzima hasla, Ruto aambia wapinzani

BENSON MATHEKA NA PIUS MAUNDU NAIBU Rais William Ruto amewasuta viongozi wa vyama vya upinzani akisema wanajuta kwa kudharau kampeni...

CHARLES WASONGA: Ni mapema kwa viongozi kuhama vyama, kubuni miungano

Na CHARLES WASONGA S IASA ni telezi na hubadilika kila dakika. Hii ndio maana wajuzi wa masuala haya husema hivi: “Siku moja katika...

Nani safi kati ya Raila na Ruto?

Na BENSON MATHEKA NAIBU Rais William Ruto na Kiongozi wa ODM, Raila Odinga wamelaumiana kwa ufisadi, kila mmoja akitaka kumpaka tope...

Usimpake tope Raila, wabunge wa ODM wamuonya Ruto

Na DAVID MWERE WABUNGE wandani wa kiongozi wa ODM Raila Odinga Jumatatu jioni walimkaripia Naibu Rais William Ruto, wakimtaka kukoma...

Ruto akejeli muungano wa Uhuru na Raila

Na LEONARD ONYANGO NAIBU wa Rais William Ruto amekejeli muungano kati ya Rais Uhuru Kenyatta na kinara wa ODM Raila Odinga huku akisema...

Ruto kuteua mwaniaji mwenza bila kushauri viongozi wa UDA

Na LEONARD ONYANGO CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA) kinachohusishwa na Naibu wa Rais William Ruto, kimempa mwaniaji wake wa...