• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 9:35 PM

Wakili Karim Khan kujiondoa kwenye kesi ya Ruto ICC

Na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa Mashtaka katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), Bi Fatou Bansouda, ametangaza kuwa wakili Karim...

JAMVI: Changamoto tele kwa Kenyatta akijaribu kuzima ndoto ya Ruto

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta amejipata katika njia panda katika juhudi zake za kujenga muungano mkubwa wa kisiasa utakaozima...

Chama cha Ruto chaaibishwa uchaguzini Machakos

Na PIUS MAUNDU USHINDI wa Bi Agnes Kavindu Muthama kwenye uchaguzi wa useneta, Machakos Ijumaa umechukuliwa na wafuasi wa chama cha...

Wilbaro ya Ruto imeshika kutu, Kieleweke wadai

Na MWANGI MUIRURI WANASIASA wanaoegemea upande wa Rais Uhuru Kenyatta wamewakejeli wenzao walio upande wa Naibu Rais, Dkt William Ruto...

Ruto amhepa Uhuru

Na MWANGI MUIRURI MAKABILIANO ya kisiasa yaliyotarajiwa kati ya Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto, katika uchaguzi mdogo wa...

Zawadi ya basi kutoka kwa Ruto yazua utata Mlima Kenya

Na CHARLES WANYORO MASWALI yameibuka kuhusu basi ambalo Naibu Rais William Ruto alitoa kwa shule moja ya upili katika eneo bunge la...

Uhuru ataweza Raila na Ruto?

Na BENSON MATHEKA SIKU moja baada ya viongozi wa chama cha ODM kulalama kuwa kuna njama ya Rais Uhuru Kenyatta kumsaliti kiongozi wao Bw...

Wabunge wandani wa Ruto wapokonywa walinzi, bunduki

VINCENT ACHUKA na CHARLES WASONGA USALAMA wa wanasiasa wandani wa Naibu Rais William Ruto sasa uko hatarini baada ya kupokonywa walinzi...

JAMVI: Hofu jahazi la Ruto limeanza kupasua nyufa Mlima Kenya

Na WANDERI KAMAU MASWALI yameibuka kuhusu mustakabali wa “urafiki” kati ya Naibu Rais William Ruto na washirika wake katika ukanda...

Ruto aonywa asifuate nyayo za Raila kisiasa

Na WANDERI KAMAU NAIBU Rais William Ruto ameonywa kuwa atashindwa kuafikia malengo yake ya kushinda urais 2022, ikiwa ataendelea kuiga...

Vijana walipanga kuvuruga hafla za Ruto – Polisi

Na MWANGI MUIRURI MAAFISA wa usalama katika eneo la Kati walizima njama tano za kuzua fujo wakati wa ziara ya Naibu Rais William Ruto...

Fujo tena katika mikutano ya Ruto na Raila

Na CHARLES WASONGA POLISI Jumamosi katika kaunti za Homa Bay na Baringo waliingilia kati kuwakabili vijana waliojaribu kuvuruga hafla...