• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 8:55 AM

Safari Rally balaa!

Na GEOFFREY ANENE MADEREVA walihangaishwa katika siku ya pili ya Mbio za Magari Duniani (WRC) Safari Rally zilizoendelea kudumisha hadhi...

Magari matatu ya Sh13 milioni kila moja kutumiwa na madereva chipukizi Safari Rally

Na GEOFFREY ANENE CHIPUKIZI McRae Kimathi, Hamza Anwar na Jeremy Wahome wataendesha magari mapya kabisa ya Ford Fiesta katika Mbio za...

Zamu ya Safari Rally kumulikwa baada ya Ogier kushinda nchini Italia mnamo Jumapili

Na GEOFFREY ANENE ULIMWENGU mzima unaelekeza sasa macho kwa Mbio za Magari Duniani (WRC) za Safari Rally baada ya duru ya tano...

Covid-19 yawapunguzia utamu mashabiki wa mbio za magari Kenya

Na GEOFFREY ANENE SHIRIKISHO la Mbio za Magari Kenya (KMSF) limepiga marufuku mashabiki Mbio za Magari za Kitaifa za Kenya (KNRC) za...

Pigo mkali wa Safari Rally akifariki

NA RICHARD MAOSI IMEKUWA ni wiki ya simanzi kwa wanamichezo wa Mashindano ya Magari, baada ya kumpoteza mmoja wao, Arthur Kinyanjui...

Miti milioni 19 kupandwa kwa ajili ya Safari Rally

Na GEOFFREY ANENE WAZIRI wa Michezo Amina Mohamed amefichua kuwa Kenya inapanga kupanda miti milioni 19 kwa kipindi cha miaka mitatu...

SAFARI RALLY: Barabara za Kenya zahitaji ujasiri, wasema madereva wa kimataifa

Na GEOFFREY ANENE MADEREVA wa kimataifa wanasubiri kwa hamu kubwa kushiriki mbio za magari za Safari Rally zitakazorejea kwenye ratiba...

Safari Rally yasogezwa 2021 kwa sababu ya corona

Na GEOFFREY ANENE MASHABIKI wa mbio za kifahari za magari za Safari Rally nchini Kenya watasubiri hadi mwaka 2021 kushuhudia madereva...

Rai ajiondoa kwa mbio za magari duru ya Kajiado

Na GEOFFREY ANENE BINGWA mara tatu wa duru ya Nakuru ya Mbio za Magari za Kitaifa, Onkar Rai amefichua hatashiriki duru ya pili...

KCB yatoa Sh75 milioni kufadhili mbio za magari

Na GEOFFREY ANENE BENKI ya KCB imerejea katika mashindano ya mbio za magari kwa kishindo baada ya kutangaza Alhamisi itakuwa mdhamini mkuu...

‘Flash’ afikia rekodi ya Mehta kwenye Safari Rally

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Safari Rally mwaka 2004, 2009, 2011 na 2012, Carl ‘Flash’ Tundo amefikia rekodi ya ushindi tano ya...