• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 9:35 PM

SAKATA YA RIO: Wario asimamishwa kazi ya ubalozi

Na RICHARD MUNGUTI WAZIRI wa zamani wa Michezo aliyeteuliwa kuwa Balozi wa Kenya nchini Austria Bw Hassan Wario sasa amesimamishwa kazi...

Wario na wenzake wakamatwa

Na GEOFFREY ANENE WAZIRI wa Michezo wa zamani wa Kenya, Hassan Wario, amekamatwa Oktoba 18, 2018 kwa tuhuma za kuhusika katika sakata...

SAKATA YA MAHINDI: Lesiyampe anyakwa na Haji

Na PETER MBURU MKONO mrefu wa sheria ambao majuzi umekuwa ukiwaangukia samaki wakubwa humu nchini Alhamisi umeelekea kwenye sakata ya...

SAKATA YA NYS: Kesi kuanza kusikizwa Januari 2019

Na RICHARD MUNGUTI KESI ya sakata ya Sh469 milioni katika Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS) dhidi ya aliyekuwa katibu mkuu Bi...

NYS: Agizo DPP atenganishe kesi kumi mara tatu

Na Richard Munguti MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Bw Noordin Haji Jumanne aliamriwa atenganishe mara tatu kesi kumi za kashfa ya...

Washukiwa wa NYS wanyimwa dhamana tena

Na RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA wote41 wa sakata mpya ya shirika la huduma ya vijana kwa taifa NYS wanaodaiwa walifuja zaidi ya Sh9 bilioni...

Uamuzi kuhusu dhamana kwa washukiwa 47 wa NYS kutolewa Juni 19

Na RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA wote 47 wanaoshtakiwa kwa sakata ya mamilioni ya pesa katika Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS)...

Mlima Kenya sasa wamlilia Raila

Na WAANDISHI WETU WAZEE wa jamii ya Agikuyu Jumatatu walimlilia kiongozi wa ODM Raila Odinga wakimtaka amsaidie Rais Uhuru Kenyatta...

Mawakili wataka Uhuru na Ruto watangaze mali yao

PETER MBURU na WAIKWA MAINA MAWAKILI wanamtaka Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto pamoja na maafisa wakuu wa serikali...

SAKATA YA NYS: Wabunge wa Jubilee na Nasa wataka Waziri Kariuki ang’atuliwe

Na CHARLES WASONGA WABUNGE watano Alhamisi walimtaka Waziri wa Afya Bi Sicily Kariuki ajiuzulu la sivyo watamtimua afisini kuhusiana na...

SAKATA YA NYS: Washukiwa kusalia ndani hadi Juni 12

Na RICHARD MUNGUTI KIZINGITI kikuu kilikumba kesi dhidi ya washukiwa 46 wa sakata ya Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS)...

Hatujatia chochote mdomoni tangu Jumapili, washukiwa wa ufisadi walia mahakamani

Na RICHARD MUNGUTI MAWAKILI  wa washukiwa 43 wa sakata ya Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS) Jumanne walilalamika kuwa watazirai...