Tag: sakata
- by adminleo
- October 19th, 2018
SAKATA YA RIO: Wario asimamishwa kazi ya ubalozi
Na RICHARD MUNGUTI WAZIRI wa zamani wa Michezo aliyeteuliwa kuwa Balozi wa Kenya nchini Austria Bw Hassan Wario sasa amesimamishwa kazi...
- by adminleo
- October 18th, 2018
Wario na wenzake wakamatwa
Na GEOFFREY ANENE WAZIRI wa Michezo wa zamani wa Kenya, Hassan Wario, amekamatwa Oktoba 18, 2018 kwa tuhuma za kuhusika katika sakata...
- by adminleo
- August 30th, 2018
SAKATA YA MAHINDI: Lesiyampe anyakwa na Haji
Na PETER MBURU MKONO mrefu wa sheria ambao majuzi umekuwa ukiwaangukia samaki wakubwa humu nchini Alhamisi umeelekea kwenye sakata ya...
- by adminleo
- August 16th, 2018
SAKATA YA NYS: Kesi kuanza kusikizwa Januari 2019
Na RICHARD MUNGUTI KESI ya sakata ya Sh469 milioni katika Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS) dhidi ya aliyekuwa katibu mkuu Bi...
- by adminleo
- August 8th, 2018
NYS: Agizo DPP atenganishe kesi kumi mara tatu
Na Richard Munguti MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Bw Noordin Haji Jumanne aliamriwa atenganishe mara tatu kesi kumi za kashfa ya...
- by adminleo
- June 20th, 2018
Washukiwa wa NYS wanyimwa dhamana tena
Na RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA wote41 wa sakata mpya ya shirika la huduma ya vijana kwa taifa NYS wanaodaiwa walifuja zaidi ya Sh9 bilioni...
- by adminleo
- June 13th, 2018
Uamuzi kuhusu dhamana kwa washukiwa 47 wa NYS kutolewa Juni 19
Na RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA wote 47 wanaoshtakiwa kwa sakata ya mamilioni ya pesa katika Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS)...
- by adminleo
- June 12th, 2018
Mlima Kenya sasa wamlilia Raila
Na WAANDISHI WETU WAZEE wa jamii ya Agikuyu Jumatatu walimlilia kiongozi wa ODM Raila Odinga wakimtaka amsaidie Rais Uhuru Kenyatta...
- by adminleo
- June 11th, 2018
Mawakili wataka Uhuru na Ruto watangaze mali yao
PETER MBURU na WAIKWA MAINA MAWAKILI wanamtaka Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto pamoja na maafisa wakuu wa serikali...
- by adminleo
- June 7th, 2018
SAKATA YA NYS: Wabunge wa Jubilee na Nasa wataka Waziri Kariuki ang’atuliwe
Na CHARLES WASONGA WABUNGE watano Alhamisi walimtaka Waziri wa Afya Bi Sicily Kariuki ajiuzulu la sivyo watamtimua afisini kuhusiana na...
- by adminleo
- June 7th, 2018
SAKATA YA NYS: Washukiwa kusalia ndani hadi Juni 12
Na RICHARD MUNGUTI KIZINGITI kikuu kilikumba kesi dhidi ya washukiwa 46 wa sakata ya Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS)...
- by adminleo
- June 7th, 2018
Hatujatia chochote mdomoni tangu Jumapili, washukiwa wa ufisadi walia mahakamani
Na RICHARD MUNGUTI MAWAKILI wa washukiwa 43 wa sakata ya Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS) Jumanne walilalamika kuwa watazirai...