Tag: salah
AFCON: Atawika nani kati ya Olunga na Mo’ Salah?
Na CECIL ODONGO HUKU timu ya taifa Harambee Stars ikitarajiwa kumenyana na Misri katika mechi ya kufuzu Taifa Bingwa Afrika (AFCON)...
Salah avunja rekodi ya ufungaji wa Liverpool kwenye kipute cha UEFA
Na MASHIRIKA KOCHA Jurgen Klopp wa Liverpool amesema kwamba nyota Mohamed Salah ana idadi kubwa ya mabao yanayotosha kumsadikisha yeyote...
- by adminleo
- June 24th, 2019
Eto’o amshauri Salah ajiunge na Barca
JOHN ASHIHUNDU PARIS, Ufaransa Mchezaji nyota, Mohamed Salah wa Liverpool ameshauriwa ajiunge na Barcelona. Ushauri huo umetolewa na...
- by adminleo
- June 4th, 2019
Salah atatwaa Ballon d’Or iwapo atashinda Afcon – Mourinho
NA CECIL ODONGO KOCHA wa zamani wa Manchester United Jose Mourinho ameonyesha imani yake kwamba Mohamed Salah huenda akashinda...
- by adminleo
- June 4th, 2019
Real Madrid, Bayern na Man U sasa zamezea mate Salah
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA mara sita wa Klabu Bingwa Ulaya, Liverpool wana kibarua kigumu kuendelea kumkwamilia mshambuliaji Mohamed...
- by adminleo
- April 16th, 2019
Tukishinda mechi zilizosalia tutaibuka mabingwa EPL – Salah
NA CECIL ODONGO MSHAMBULIZI wa Liverpool Mohamed Salah amesema timu hiyo inahitaji ushindi katika mechi zake nne zilizosalia za Ligi Kuu...
- by adminleo
- February 5th, 2019
Salah aibuka mchezaji bora wa EPL tena
NA CECIL ODONGO FOWADI matata wa Liverpool Mohamed Salah kwa mara nyingine tena ameibuka mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Uingereza(EPL) wa...
- by adminleo
- January 8th, 2019
Salah ahifadhi taji la mwanasoka bora Afrika
Na GEOFFREY ANENE STRAIKA wa Liverpool na Misri Mohamed Salah ametangazwa mshindi wa Mwanasoka Bora wa Bara Afrika mwaka 2018 Januari 8,...
- by adminleo
- December 8th, 2018
Salah sasa ni mkali wao EPL baada ya Reds kuitafuna Bournemouth
NA GEOFFREY ANENE Mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Uingereza msimu 2017-2018, Mohamed Salah amerukia juu ya jedwali la wafungaji wa mabao...
- by adminleo
- November 19th, 2018
Salah, Mane, Koulibaly, Benatia na Partey kuwania Mwanasoka Bora wa BBC
Na CECIL ODONGO ORODHA ya wanasoka watakaowania tuzo ya Mwanasoka Bora wa BBC Barani Afrika mwaka wa 2018 imetangazwa. Wawaniaji...
- by adminleo
- May 29th, 2018
Wakili wa Misri ataka Ramos atozwe fidia ya Sh120 bilioni kwa kumtendea Salah unyama
Na CHRIS ADUNGO WAKILI mmoja nchini Misri sasa amewasilisha kesi kortini akitaka fidia ya Sh120 bilioni dhidi ya difenda wa Real Madrid...
- by adminleo
- May 28th, 2018
Salah kuongoza mashambulizi ya Misri Kombe la Dunia licha ya kujeruhiwa na Ramos
Na MASHIRIKA STRAIKA matata wa Liverpool na Misri Mohamed Salah jana aliwaondolea mashabiki wake hofu kuwa huenda jeraha alilopata katika...