• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:33 AM

Cherargei ataka DCI na EACC zichunguze matumizi mabaya ya fedha za michezo

Na CHARLES WASONGA SENETA wa Nandi Samson Cherargei anataka Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) na Idara ya Upelelezi wa...

Wandani wa Ruto wamjibu Tuju

Na CHARLES WASONGA WANDANI wa Naibu Rais William Ruto wamemshutumu Katibu Mkuu wa Jubilee Raphael Tuju kwa kushutuu kiongozi huyo...

Cherargei akashifu Uhuru baada ya wanariadha waliowasili kutoka Japan kupata mapokezi baridi

Na CHARLES WASONGA SENETA wa Kaunti ya Nandi Samson Cherargei amemlaumu Rais Uhuru Kenyatta na serikali kwa ujumla kufuatia kile...

Jaji Mkuu afaa kuteuliwa apokezwe mikoba ndipo mtangulizi wake aondoke rasmi, apendekeza Cherargei

Na SAMMY WAWERU SENETA wa Kaunti ya Nandi Samson Cherargei amependekeza asasi huru serikalini kama idara ya mahakama, ziwe zinateua...

Kindiki, Murkomen, Cherargei wakataa nafasi mpya walizopewa katika seneti

Na CHARLES WASONGA SENETA wa Tharaka-Nithi Kithure Kindiki amekataa nafasi mpya aliyoteuliwa kuhudumu kama mwanachama wa Kamati ya...

Cherargei asema si neno kuondolewa katika kamati ya sheria seneti

Na SAMMY WAWERU SENETA wa Kaunti ya Nandi Samson Cherargei amesema kupokonywa wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati ya Seneti kuhusu Sheria si...

Cherargei apokonywa wadhifa wa mwenyekiti kamati ya seneti kuhusu sheria

Na CHARLES WASONGA SENETA wa Kaunti ya Nandi Samson Cherargei apokonywa wadhifa wa Mwenyekiti wa Kamati ya Seneti kuhusu...

Cherargei asema maseneta wengi hawakujua chochote kuhusu mkutano wa Ikulu

Na SAMMY WAWERU VIONGOZI wanaoegemea mrengo unaomuunga mkono Naibu Rais William Ruto wameendelea kutoa hisia mseto kuhusu mabadiliko ya...

Cherargei amtaka Gavana Sang ajiuzulu kwa ‘kupoteza’ Sh2.3b

Na CHARLES WASONGA SENETA wa Nandi Samson Cherargei sasa anamtaka Gavana wa kaunti hiyo Stephen Sang’ kujiuzulu la sivyo atimuliwe...

Hatuna nia ya kumtimua Uhuru Ikulu – Seneta Cherargei

ONYANGO K’ONYANGO na WYCLIFF KIPSANG VIONGOZI wa Jubilee wanaoegemea upande Naibu Rais William Ruto wamekanusha madai kwamba wanapanga...

Waliopinga marekebisho ya katiba sasa wabadili kauli

Na WYCLIFFE KIPSANG' WANDANI wa Naibu wa Rais William Ruto, ambao awali walipinga vikali wito wa kutaka kura ya maamuzi iandaliwe ili...