• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 7:55 AM

Leteni hoja hiyo tupambane nayo, Tangatanga waambia Savula na wenzake

Na CHARLES WASONGA WABUNGE wandani wa Naibu Rais William Ruto wameapa kuzima hoja ya kumwondoa mamlakani endapo itawasilishwa bungeni...

Nina saini za wabunge 126 kumtimua Ruto – Savula

Na BENSON MATHEKA MIPANGO ya kumuondoa ofisini Naibu Rais William Ruto inayoshinikizwa na chama cha Amani National Congress (ANC),...

ANC yalia kudhalilishwa na ODM

Na CHARLES WASONGA CHAMA cha Amani National Congress (ANC) kimelalamikia kuondolewa kwa Mbunge wa Emuhaya Omboko Milemba kutoka kwa...

Savula na wake zake wakana kumumunya mamilioni ya serikali

NA RICHARD MUNGUTI MBUNGE wa Lugari Ayub Savula na wake zake wawili walishtakiwa Jumatatu pamoja na aliyekuwa katibu wizara ya...

Huenda Rotich na Bett wakashtakiwa kuhusu sukari

[caption id="attachment_8209" align="aligncenter" width="800"] Mbunge wa Lugari Ayub Savula (kati) akiwa na wenzake wakihutubia wanahabari...

JAMVI: Sifuna atadhibiti ngalawa kwenye bahari ya kisiasa iliyofurika papa?

Na VALENTINE OBARA KATIBU Mkuu wa Chama cha ODM, Bw Edwin Sifuna, ana mlima wa kukwea anapojaribu kudhibiti ngawala ya upinzani nchini...

Vyama vya Ford-K na ANC kuvunjwa kuunda chama kimoja

LEONARD ONYANGO na GAITANO PESSA VIONGOZI kutoka eneo la Magharibi wamedokeza mpango wa kutaka kuvunjilia mbali vyama vya Amani National...

Tokeni NASA kama nyinyi ni wanaume, ODM yaambiwa

Na WYCLIFFE MUIA BAADHI ya wabunge wa vyama vya Wiper, ANC na Ford Kenya sasa wamewataka wenzao wa ODM waondoke kutoka kwa muungano wa...