Tag: SHAMBULIO
- by adminleo
- January 6th, 2020
Jeshi laua magaidi 4 waliovamia kambi yao
KALUME KAZUNGU na STEPHEN ODUOR JESHI la Kenya (KDF) liliwaua washukiwa wanne wa al-Shabaab waliojaribu kuvamia kambi ya jeshi eneo la...
- by adminleo
- November 2nd, 2019
Wanajeshi 53 wauawa katika shambulio la kigaidi Mali
Na AFP BAMAKO, MALI WANAJESHI 53 wa Mali wameuawa baada ya kituo chao kilichoko Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo kushambuliwa na...
- by adminleo
- April 23rd, 2019
Waliofariki Sri Lanka kwa mashambulizi wafika 300
Na MASHIRIKA IDADI ya watu waliofariki nchini Sri Lanka kutokana na msururu wa mashambulio ya bomu mnamo Jumapili imefikia 300, wamesema...
- by adminleo
- March 19th, 2019
New Zealand kutathmini upya sheria za umiliki wa bunduki
Na MASHIRIKA WELLINGTON, New Zealand WAZIRI Mkuu wa New Zealand, Jacinda Arden, amesema taifa lake limeanza kutathmini upya sheria ya...
- by adminleo
- January 23rd, 2019
Washukiwa wa shambulizi la Garissa kujitetea Machi 21
Na RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA watano wa ugaidi wa shambulizi la Chuo Kikuu cha Garissa waliopatikana na hatia ya kuwaua wanafunzi 144 wa...
- by adminleo
- January 21st, 2019
TAHARIRI: Polisi mpakani wachunguzwe
NA MHARIRI TANGU shambulizi la kigaidi litokee katika jiji la Nairobi, kumekuwa na mjadala wa kila aina kuhusu chanzo chake. Jambo...
- by adminleo
- January 21st, 2019
Shabaab 52 wauawa katika shambulizi
VALENTINE OBARA na AFP WANAJESHI wa Amerika waliwaua magaidi 52 wa kundi la al-Shabaab nchini Somalia usiku wa kuamkia jana kwa kurusha...
- by adminleo
- January 16th, 2019
SHAMBULIO: Historia ya kikosi cha Recce
Na LEONARD ONYANGO Pendekezo la kuunda kikosi maalumu cha Recce katika kitengo cha GSU lilianza kutolewa na aliyekuwa Waziri wa...
- by adminleo
- January 16th, 2019
SHAMBULIO: Matukio makuu ya kigaidi awali hapa Kenya
Na VALENTINE OBARA MASHAMBULIO mengi ya kigaidi yametokea nchini Kenya tangu Jeshi la Taifa (KDF) lilipoingia Somalia kukabiliana na...
- by adminleo
- January 16th, 2019
SHAMBULIO: Ni miaka 3 kamili tangu Al Shabaab waue wanajeshi El Adde
Na WYCLIFFE MUIA SHAMBULIO la Jumanne katika hoteli ya Dusit eneo la Riverside jijini Nairobi lilitokea miaka mitatu kamili baada ya...
- by adminleo
- May 9th, 2018
Polisi waonya huenda Al-Shaabab watekeleze uvamizi Ramadhan
Na BERNARDINE MUTANU POLISI wamewatahadharisha Wakenya kuhusu uwezekano wa magaidi wa Al-Shabaab kutekeleza mashambulio wakati wa mwezi...
- by adminleo
- March 26th, 2018
Uingereza yawapa onyo raia wake kuhusu shambulio la kigaidi Kenya
Na STELLA CHERONO UINGEREZA imetoa tahadhari ya usafiri kwa raia wake wanaoishi ama wanaotembelea Kenya dhidi ya tishio la ugaidi na...