Tag: SRC
Madiwani wavuna baada ya SRC kuidhinisha kila mmoja apewe Sh2 milioni za gari
Na CHARLES WASONGA TUME ya Mishahara na Marupurupu (SRC) imeidhinisha ruzuku Sh4.5 bilioni za kununua magari kwa madiwani wote 2,224...
SRC yapinga pensheni ya wabunge
Na CHARLES WASONGA TUME ya Kukadiria Mishahara na Marupurupu ya Watumishi wa Umma (SRC) sasa inataka Rais Uhuru Kenyatta kutotia saini...
- by adminleo
- June 28th, 2019
Serikali yatetea SRC dhidi ya vitisho vya wabunge
Na VALENTINE OBARA SERIKALI Kuu imetetea Tume ya Mishahara na Marupurupu (SRC) dhidi ya wabunge wanaotaka kupunguzia tume hiyo fedha za...
- by adminleo
- June 21st, 2019
Wabunge wasutwa kwa kupunguza bajeti ya SRC
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wameshutumiwa vikali kwa kupunguza mgao wa fedha ambazo Tume ya Kukadiria Mishahara na Marupurupu (SRC)...
- by adminleo
- June 9th, 2019
Walimu waunga mkono wabunge SRC ivunjwe
Na MWANDISHI WETU CHAMA cha Kitaifa cha Walimu (KNUT) kinataka Tume ya Mishahara ya Watumishi wa Umma (SRC) ifutiliwe...
- by adminleo
- June 1st, 2019
SRC yapinga kortini marupurupu ya wabunge
Na WALTER MENYA HUENDA wabunge wakalazimika kurejesha mamilioni ya pesa ambazo walikuwa wamepokea kama marupurupu ya nyumba ikiwa Tume...
- by adminleo
- May 15th, 2019
SRC yataka wabunge warejeshe marupurupu
Na DAVID MWERE TUME ya Kusimamia Mishahara ya Watumishi wa Umma (SRC), imetishia kushtaki wabunge ili korti iwashinikize...
- by adminleo
- May 7th, 2018
Mabadiliko ya sheria ya SRC yaibua hofu
Na IBRAHIM ORUKO HOFU imekumba Tume ya Mishahara (SRC) baada ya Rais Uhuru Kenyatta kutia sahihi mabadiliko ya pamoja ya sheria inayompa...