• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 11:55 AM

DOUGLAS MUTUA: Sudan hatarini kutekwa na jeshi kama Misri

Na DOUGLAS MUTUA WAZIRI Mkuu wa Sudan, Bw Abdallah Hamdok, ameingia kwenye kumbukumbu za historia kama kiongozi aliyepinduliwa kisha...

Hatimaye mwafaka wapatikana Sudan

KHARTOUM, Sudan Na MASHIRIKA UTAWALA wa jeshi nchini Sudan umekubali kumrejesha mamlakani Waziri Mkuu aliyeng’olewa mamlakani,...

Wanajeshi waua waandamanaji 14

Na MASHIRIKA KHARTOUM, SUDAN MADAKTARI nchini Sudan wamesema watu 14 waliuawa Jumatano kwa kupigwa risasi na vikosi vya usalama, kwa...

Raia wa Sudan ndani kwa kukaidi kulipa deni

Na RICHARD MUNGUTI RAIA wa Sudan Jumatatu aliamriwa azuiliwe korokoroni ibainike ikiwa amelipa deni la mamilioni ya pesa kabla ya...

Maandamano yazuka nchini Sudan kuhusu uchumi, bei za bidhaa

Na AFP KHARTOUM, Sudan MAANDAMANO yalizuka katika sehemu kadhaa nchini Sudan kutokana na hali ngumu ya uchumi na kupanda kwa gharama...

Maandamano yachacha Sudan kushinikiza mageuzi

Na MASHIRIKA KHARTOUM, Sudan RAIA nchini Sudan walifanya maandamano makubwa wikendi, wakiitaka serikali ya mpito nchini humo...

Wanafunzi wa Kenya waliokwama Sudan kurudishwa nyumbani

WACHIRA MWANGI Angalau wanafunzi 120 wa Kenya waliokwama Sudan kutokana na makataa ya kutoingia humu nchini kutokana na janga la corona...

Baraza tawala lavunja chama cha Bashir, kunadi mali yake

Na MASHIRIKA KHARTOUM, SUDAN WATAWALA wapya nchini Sudan, Alhamisi waliagiza chama cha Rais aliyetimuliwa mamlakani Omar al-Bashir,...

Viongozi wa serikali mpya wamtembelea Bashir jela

NA AFP VIONGOZI wa Baraza jumuishi la uongozi nchini Sudan, jana walimtembelea aliyekuwa Rais Omar al-Bashir katika gereza maarufu la...

Hamdok achukua hatua za kutaka kuiondoa Sudan kwenye orodha mbaya

Na MASHIRIKA SUDAN huenda ikaanza kupokea uwekezaji kutoka nchi za kigeni pamoja na ufadhili wa kifedha huku Waziri Mkuu mpya nchini...

Mwanga wa matumaini Sudan

Na AFP KHARTOUM, Sudan MWANGA wa matumaini umeangaza nchini Sudan huku viongozi wa kijeshi na viongozi wa makundi ya waandamanaji...

Baraza la kijeshi Sudan ladai lilitibua njama ya mapinduzi

Na MASHIRIKA BARAZA la kijeshi linalotawala Sudan, lilitibua jaribio la mapinduzi, jenerali wa cheo cha juu alitangaza kupitia runinga...