• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 11:55 AM

Mt Kenya United yachomwa 7-2 na Nairobi Stima

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Mt Kenya United ilichomwa magoli 7-2 na Nairobi Stima kwenye mechi ya Betika Supa Ligi ya Taifa (BNSL), nayo...

Supa ligi kuanza kesho Jumapili

Na JOHN ASHIHUNDU LIGI ya pili kwa ukubwa nchini Kenya, kwa ufupi kama NSL, itaanza kesho Jumapili kwa kukutanisha timu 20 katika...

Ushindi wapandisha Wazito hadi kileleni NSL

Na JOHN ASHIHUNDU Ushindi wa Wazito FC wa 2-1 dhidi ya Fortune Sacco mwishoni mwa wiki uwanjani Camp Toyoyo, Nairobi umewasukuma hadi...

Ushuru yaikaribia Stima kileleni mwa jedwali Supa Ligi

Na CECIL ODONGO UONGOZI wa Klabu ya Western Stima katika ligi ya supa ulipunguzwa hadi alama moja baada ya wapinzani wao wakuu kwenye ligi...