• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 3:17 PM

TAHARIRI: Azimio waunge upinzani thabiti kutetea raia

NA MHARIRI BAADA ya Rais William Ruto kutangazwa mshindi wa urais na baadaye kuapishwa, viongozi na wafuasi wa muungano wa Kenya Kwanza...

TAHARIRI: Vikosi vya Kenya michezo ya shule Tanzania vijikaze kudumisha ubabe

NA MHARIRI MICHEZO ya Shule za Upili ya Muhula wa Pili katika ngazi ya kanda inaingia siku ya pili, leo katika uga wa Tanzania Game and...

TAHARIRI: Serikali irejeshe ruzuku ya mafuta na unga kabla ya suluhu ya muda mrefu

NA MHARIRI NI mapema mno kuanza kuwazia kukatishwa tamaa, siku chache baada ya kuapishwa kwa Rais William Ruto. Sherehe bado ni nyingi,...

TAHARIRI: Kazi kwako Ruto, chapa kazi sasa

NA MHARIRI LEO Kenya inafungua ukurasa mpya – kutoka serikali ya Rais Uhuru Kenyatta anayestaafu leo Jumanne hadi utawala wa Rais...

TAHARIRI: Mvutano wanukia Mwendwa kusema amerudi afisini FKF

NA MHARIRI ALIYEKUWA Rais wa Shirikisho la Soka Nchini FKF Nick Mwendwa alitangaza jana kwamba amerejea katika uongozi wa shirikisho...

TAHARIRI: Magavana wapya waelimishwe kuhusu Sheria ya Ajira

NA MHARIRI WIKI jana na wiki hii serikali za kaunti zinaendelea kutangaza nyadhifa za watu watakaokuwa mawaziri au makatibu wa...

TAHARIRI: Kenya Power sasa iimarishe uhusiano na wateja wake

NA MHARIRI TANGAZO la kampuni ya Kenya Power kwamba imesimamisha kandarasi ya kampuni za kibinafsi kusambaza stima ya kujaza lafaa...

TAHARIRI: Mahakama ya Upeo ipewe nafasi kuamua kesi ya urais

NA MHARIRI MAHAKAMA ya Juu leo inatarajiwa kuanza rasmi vikao vya kesi ya kupinga uchaguzi wa urais uliofanywa Agosti 9. Tangu Tume...

TAHARIRI: Waajiri wasinyime wafanyakazi wao ruhusa ya kwenda kushiriki uchaguzi

NA MHARIRI MNAMO Ijumaa Serikali kilitangaza kuwa leo Jumatatu ni sikukuu katika maeneo ambako uchaguzi wa marudio unafanywa. Wakazi wa...

TAHARIRI: Kurejea kwa SportPesa afueni kwa klabu za ligi

NA MHARIRI HABARI kuu iliyoibuka wiki hii, kando ya kutangazwa kwa mshindi wa urais katika uchaguzi mkuu uliokamilika, ni kurejea kwa...

TAHARIRI: IEBC iweke kanuni nzuri za kuwachuja wasimamizi

NA MHARIRI WAKENYA wanapoendelea kusubiri matokeo ya uchaguzi wa urais, hapana budi kuishukuru Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka...

TAHARIRI: Sheria yafaa ibadilishwe mshindi wa uchaguzi abainike upesi

NA MHARIRI KUNA haja kubwa ya sheria ya uchaguzi kubadilishwa ili mshindi aweze kubainika upesi. Hii ni kutokana na hali ya shinikizo,...