Tag: tahariri
- by T L
- September 18th, 2022
TAHARIRI: Azimio waunge upinzani thabiti kutetea raia
NA MHARIRI BAADA ya Rais William Ruto kutangazwa mshindi wa urais na baadaye kuapishwa, viongozi na wafuasi wa muungano wa Kenya Kwanza...
- by T L
- September 17th, 2022
TAHARIRI: Vikosi vya Kenya michezo ya shule Tanzania vijikaze kudumisha ubabe
NA MHARIRI MICHEZO ya Shule za Upili ya Muhula wa Pili katika ngazi ya kanda inaingia siku ya pili, leo katika uga wa Tanzania Game and...
- by T L
- September 16th, 2022
TAHARIRI: Serikali irejeshe ruzuku ya mafuta na unga kabla ya suluhu ya muda mrefu
NA MHARIRI NI mapema mno kuanza kuwazia kukatishwa tamaa, siku chache baada ya kuapishwa kwa Rais William Ruto. Sherehe bado ni nyingi,...
- by T L
- September 13th, 2022
TAHARIRI: Kazi kwako Ruto, chapa kazi sasa
NA MHARIRI LEO Kenya inafungua ukurasa mpya – kutoka serikali ya Rais Uhuru Kenyatta anayestaafu leo Jumanne hadi utawala wa Rais...
- by T L
- September 10th, 2022
TAHARIRI: Mvutano wanukia Mwendwa kusema amerudi afisini FKF
NA MHARIRI ALIYEKUWA Rais wa Shirikisho la Soka Nchini FKF Nick Mwendwa alitangaza jana kwamba amerejea katika uongozi wa shirikisho...
- by T L
- September 4th, 2022
TAHARIRI: Magavana wapya waelimishwe kuhusu Sheria ya Ajira
NA MHARIRI WIKI jana na wiki hii serikali za kaunti zinaendelea kutangaza nyadhifa za watu watakaokuwa mawaziri au makatibu wa...
- by T L
- September 1st, 2022
TAHARIRI: Kenya Power sasa iimarishe uhusiano na wateja wake
NA MHARIRI TANGAZO la kampuni ya Kenya Power kwamba imesimamisha kandarasi ya kampuni za kibinafsi kusambaza stima ya kujaza lafaa...
- by T L
- August 30th, 2022
TAHARIRI: Mahakama ya Upeo ipewe nafasi kuamua kesi ya urais
NA MHARIRI MAHAKAMA ya Juu leo inatarajiwa kuanza rasmi vikao vya kesi ya kupinga uchaguzi wa urais uliofanywa Agosti 9. Tangu Tume...
- by T L
- August 29th, 2022
TAHARIRI: Waajiri wasinyime wafanyakazi wao ruhusa ya kwenda kushiriki uchaguzi
NA MHARIRI MNAMO Ijumaa Serikali kilitangaza kuwa leo Jumatatu ni sikukuu katika maeneo ambako uchaguzi wa marudio unafanywa. Wakazi wa...
- by T L
- August 20th, 2022
TAHARIRI: Kurejea kwa SportPesa afueni kwa klabu za ligi
NA MHARIRI HABARI kuu iliyoibuka wiki hii, kando ya kutangazwa kwa mshindi wa urais katika uchaguzi mkuu uliokamilika, ni kurejea kwa...
- by T L
- August 14th, 2022
TAHARIRI: IEBC iweke kanuni nzuri za kuwachuja wasimamizi
NA MHARIRI WAKENYA wanapoendelea kusubiri matokeo ya uchaguzi wa urais, hapana budi kuishukuru Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka...
- by T L
- August 12th, 2022
TAHARIRI: Sheria yafaa ibadilishwe mshindi wa uchaguzi abainike upesi
NA MHARIRI KUNA haja kubwa ya sheria ya uchaguzi kubadilishwa ili mshindi aweze kubainika upesi. Hii ni kutokana na hali ya shinikizo,...