Tag: tahariri
- by T L
- July 12th, 2022
TAHARIRI: Ushuru wa ziada utumike kuokoa raia wa tabaka la chini
NA MHARIRI WIKI jana, serikali ilitangaza mafanikio makubwa katika ukusanyaji wa mapato ambapo ilisema ilizidi malengo yake kwa...
- by T L
- July 10th, 2022
TAHARIRI: Kila mtu ajikinge msimu huu wa baridi
NA MHARIRI MSIMU wa baridi kali uko nasi na Idara ya Utabiri wa Hali ya Hewa inasema utaendelea kwa muda. Huu ni msimu ambao...
- by T L
- July 9th, 2022
TAHARIRI: Vituko vya Nick, serikali vyatamausha Starlets zaidi
NA MHARIRI UFUFUZI wa karakasi kati ya serikali na aliyekuwa rais wa Shirikisho la Soka nchini (KFK), Nick Mwendwa unaamsha machungu...
- by T L
- July 7th, 2022
TAHARIRI: Magavana wajao watii sheria za ugatuzi kuhusu mgao wa pesa
NA MHARIRI RIPOTI ya hivi punde ya Mkaguzi wa Bajeti inaonyesha kaunti 42 zilitumia mabilioni ya pesa kwa mishahara badala ya...
- by T L
- July 6th, 2022
TAHARIRI: Rais Uhuru na Ruto wakomeshe tofauti zao za hadharani
NA MHARIRI KATIKA siku za hivi karibuni kumeibuka majibizano makali kati ya Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto....
- by T L
- July 5th, 2022
TAHARIRI: Rais hebu sema neno moja tu, bei ya unga ishuke
NA MHARIRI KATIKA siku za hivi karibuni viongozi mbalimbali wakiwemo wa kisiasa na mashirika ya kutetea haki za kibinadamu, wamekuwa...
- by T L
- July 4th, 2022
TAHARIRI: Viongozi wa siasa wawakumbuke raia wanaoteswa na janga la njaa
NA MHARIRI HABARI za Wakenya kuhangaishwa na baa la njaa zinaendelea kuripotiwa kutoka maeneo kadhaa nchini. Mamilioni ya watu...
- by T L
- July 2nd, 2022
TAHARIRI: Hatima ya kandanda iko mikononi mwa rais mpya ajaye
NA MHARIRI UTATA zaidi unaendelea kukumba soka ya Kenya kadiri siku zinaposonga. Hapo juzi, viongozi wa matawi ya Shirikisho la Soka...
- by T L
- June 28th, 2022
TAHARIRI: Tuchukue tahadhari kuepusha hatari katika kampeni
NA MHARIRI KAMPENI za uchaguzi zimenoga katika kila pembe ya nchi, zikivutia mamia na maelfu ya watu. Katika hali hii, kila juhudi...
- by T L
- June 27th, 2022
TAHARIRI: Serikali ije na mikakati mipya kubabili utumizi wa mihadarati
NA MHARIRI WIKI jana, walimu katka shule moja ya upili katika Kaunti ya Migori walimnasa mwanafunzi akiwa na misokoto ya bangi...
- by T L
- June 21st, 2022
TAHARIRI: Maelezo kuhusu wawaniaji wote yaanikwe wazi
NA MHARIRI MJADALA kuhusu vyeti vya masomo vya wanasiasa unazidi kuibua hisia mseto baina ya wananchi wakati huu ambapo maandalizi ya...
- by T L
- June 14th, 2022
TAHARIRI: Wagombeaji urais wasifiche masuala mazito
NA MHARIRI MDAHALO mkali ambao unaendelea kushuhudiwa nchini kuhusu manifesto ya mwaniaji urais kwa chama cha kisiasa cha Muungano wa...