• Nairobi
  • Last Updated April 16th, 2024 1:25 PM

TAHARIRI: Idara nyingine za serikali ziipe umuhimu lugha ya Kiswahili

NA MHARIRI UZINDUZI wa Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa lugha ya Kiswahili ni hatua nzuri inayofaa kupongezwa. Afisi...

TAHARIRI: Wazazi wakomeshwe kupeleka watoto kwa mikutano ya kisiasa

NA MHARIRI WAKATI kampeni za siasa za chaguzi kuu zinapoanza humu nchini, huwa mambo mengi yanatiliwa maanani kwa minajili ya kudumisha...

TAHARIRI: Wanafunzi wenye uhitaji wa kweli wa karo wasaidiwe

NA MHARIRI UKARIMU wa Wakenya mara nyingi huonekana wakati wanafunzi wenye uhitaji wa karo ya shule hutakikana ili kufanikisha masomo...

TAHARIRI: Ufafanuzi zaidi kuhusu Gredi ya 7 wahitajika

NA MHARIRI HATA ingawa serikali imetoa ufafanuzi wa kina kuhusu jinsi wanafunzi wa Gredi ya 6 chini ya mfumo mpya wa elimu (CBC),...

TAHARIRI: Sheria ya jinsia yafaa iangiliwe upya upesi

NA MHARIRI JANA Jumatano mahakama iliipiga breki tume ya uchaguzi (IEBC) kuhusu agizo lake kuwa sharti vyama vya kisiasa vidumishe...

TAHARIRI: Uadilifu ndiyo chanjo ya siasa chafu za Kenya

NA MHARIRI SIASA katika yaliyoendelea hasa Ulaya huongozwa na sera madhubuti. Siasa za namna hii zimechangia kuimarisha na kupevusha...

TAHARIRI: Raia atazidi kuumia bila ukomavu wa kisiasa

NA MHARIRI MATUKIO ya kisiasa yanayoendelea kushuhudiwa nchini yanazidi kuthibitisha kuwa, raia bado hatiliwi maanani sana katika...

TAHARIRI: Usimamizi wa basari sharti urekebishwe

NA MHARIRI KUUNGAMA kwa Waziri wa Elimu Profesa George Magoha kwamba hazina za basari zinazosimamiwa na wanasiasa zimekolewa na ufisadi...

TAHARIRI: Mashindano ya Kip Keino ni faida kuu kwa taifa letu

NA MHARIRI RIADHA ni mojawapo ya njia ambazo zimepata kuundia Kenya sifa kimataifa kando na kuukuza uchumi wake. Nchi hii itakuwa na...

TAHARIRI: Wanafunzi wasinyimwe masomo kwa sababu ya karo

NA MHARIRI KUANZIA leo, wazazi watakuwa wakipeleka watoto wao waliofanya mtihani wa Darasa la Nane kujiunga na kidato cha kwanza katika...

TAHARIRI: Rais, Naibu wake wajue wanachojali wananchi ni huduma pekee

NA MHARIRI KIPINDI cha siku nne zilizopita kimeshuhudia kwa mara nyingine malumbano kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake William...

TAHARIRI: Kibaki awe kioo cha wawaniaji wa urais

NA MHARIRI MAZISHI ya Rais Mstaafu Mwai Kibaki nyumbani kwake Othaya, Kaunti ya Nyeri, Jumamosi yalikuwa kilele cha maisha ya rais huyo...