• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 6:45 PM

Ndoa 10,000 katika hatari ya kuvunjika

NA LEONARD ONYANGO NDOA zaidi ya 10,000 ziko katika hatari ya kuvuinjwa mwaka huu huku maeneo ya Nairobi, Kaskazini Mashariki na Mlima...

Mawakili washinikiza sheria ya talaka irekebishwe ili kurahisisha utaratibu

NA RICHARD MUNGUTI KUNDI la mawakili limewasilisha kesi katika mahakama kuu ikiomba sheria ya kupeana talaka irekebishwe na kurahisishwa...

CHOCHEO: Kuepuka dhiki baada ya talaka

Na BENSON MATHEKA KESI yake ya talaka ilipokuwa ikiendelea, Joyce hakuwazia jinsi maisha yangekuwa baada ya ombi lake...

Afisi ya Kadhi yakerwa na ongezeko la talaka

MISHI GONGO na KALUME KAZUNGU KADHI Mkuu Sheikh Muhdhar Ahmed amewahimiza wazazi kote nchini wawape mafunzo vijana kuhusu maisha ya...

Kitany azidi kumwanika Linturi

Na RICHARD MUNGUTI SENETA wa Meru, Mithika Linturi Jumatano aliendelea kuanikwa katika kesi ya talaka inayoendelea kati yake na Maryanne...

Korti yaidhinisha mwanamke aliyepatikana na hatia ya kuua mtoto wa mke mwenza atalikiwe

Na KATE WANDERI na MARY WANGARI MWANAMKE aliyehukumiwa kifo mnamo 2004 kwa kumuua mtoto wa mke mwenzake miaka 20 iliyopita atajutia...

Foleni ya kilomita 12 wanandoa wakisaka talaka za haraka

MASHIRIKA Na PETER MBURU MAELFU ya raia wa Ireland walijitokeza nje ya mahakama za nchi hiyo Jumatatu kushiriki zoezi la kupiga kura ili...

Mwanamume ataliki mkewe ili aishi na mamaye mzazi

Na PETER MBURU MWANAMUME ameamua kuishi na mamaye mzazi badala ya mkewe, hali ambayo imeifanya mahakama moja ya Nairobi kuvunja ndoa...

Historia ndoa kudumu dakika 3 pekee!

MASHIRIKA Na PETER MBURU HISTORIA iliwekwa duniani baada ya wanandoa nchini Kuwait kushangaza ulimwengu kwa kutalikiana dakika tatu tu...

Mke aliyeenda kuokoa ndoa kwa mganga alishwa talaka

Na SAMMY WAWERU Kagumo, Kirinyaga MWANADADA mmoja alijuta baada ya kupewa talaka na mumewe akidai alikuwa akimtembelea mganga kupata...

Gwiji wa ngwenje Jeff Bezos na mkewe kutalikiana

MASHIRIKA Na CHARLES WASONGA CALIFORNIA, AMERIKA MTU tajiri zaidi ulimwenguni Jeff Bezos na mkewe MacKenzie, wametangaza kuwa...

Wanawake Saudia kutalikiwa kupitia SMS

MASHIRIKA na PETER MBURU MAHAKAMA nchini Saudi Arabia zimetangaza kuwa wanawake wa nchi hiyo wataanza kufahamishwa na mabwana zao kuhusu...