Tag: twitter
- by T L
- January 14th, 2022
Nigeria yaondolea Twitter marufuku
Na MASHIRIKA ABUJA, NIGERIA NIGERIA imeondoa marufuku dhidi ya mtandao wa Twitter, miezi saba baada ya kupiga marufuku matumizi ya...
Twitter kuwazima milele wanaopotosha kuhusu chanjo ya corona
MASHIRIKA na MARY WANGARI SAN FRANCISCO, Amerika KAMPUNI inayomiliki mtandao wa kijamii wa Twitter Jumanne imesema itaanza kutia...
FAUSTINE NGILA: Heko Twitter na Facebook kuzima tetesi za Trump
NA FAUSTINE NGILA Katika uandishi wangu, nimekuwa nikiikemea mitandao ya kijamii kwa kuchangia pakubwa kwa kuenea kwa habari za...
- by adminleo
- December 31st, 2019
TEKNOHAMA: Twitter kuwalinda waathiriwa wa kifafa
Na LEONARD ONYANGO MTANDAO wa kijamii wa Twitter umepiga marufuku picha za kuchezacheza na kubadili rangi maarufu APNG kwa lengo la...
- by adminleo
- November 18th, 2019
OBARA: #KOT hawajaiva kuchochea mageuzi ya kweli nchini
Na VALENTINE OBARA WIKI iliyopita, mtandao wa kijamii wa Twitter ulisheheni jumbe za Wakenya walioonekana kuwa na hasira kwa utawala wa...
- by adminleo
- October 31st, 2019
Sera mpya ya Twitter kupiga marufuku matangazo ya kisiasa
Na MARY WANGARI na MASHIRIKA WANASIASA wanaotumia mitandao ya kijamii kuvutia wapigakura wamepata pigo kuu kufuatia hatua ya usimamizi...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
Ruto anavyomuiga Trump kukabili mahasidi Twitter
Na JEREMIAH KIPLANG’AT NAIBU Rais William Ruto ameonekana kukumbatia mtandao wa Twitter katika siku za hivi karibuni kila anapotaka...
- by adminleo
- March 22nd, 2019
Akaunti za Twitter na Facebook za Uhuru zazimwa
Na PETER MBURU AKAUNTI za mitandao ya kijamii za Rais Uhuru Kenyatta Ijumaa asubuhi zilizimwa, baada ya kudaiwa kuingiliwa na watu fulani...
- by adminleo
- January 10th, 2019
Polisi wasaka wanaochochea ghasia za kikabila Twitter
Na PETER MBURU IDARA ya Polisi imetangaza kuwa inawinda jamaa mmoja ambaye amekuwa akitumia mtandao wa Twitter kusambaza jumbe za...
- by adminleo
- August 22nd, 2018
Mitandao ya kijamii itasaidia wanyonge kupata haki lakini kwa kufuata kanuni hizi
NA FAUSTINE NGILA MTINDO ambapo asasi zinazotegemewa kutenda haki katika visa mbalimbali vya uhalifu hutegemea mitandao ya kijamii,...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
Watumizi wa mitandao ya kijamii Uganda kutozwa ushuru wa Sh100 kila siku
DAILY MONITOR na CHARLES WASONGA WATUMIZI mitandao ya kijamii nchini Uganda sasa watatozwa ushuru mpya ili kuzuia kile ambacho Rais...
- by adminleo
- March 27th, 2018
Twitter yajiunga na Google na Facebook kuharamisha matangazo ya Bitcoin
Na BERNARDINE M UTANU KAMPUNI ya mtandao wa kijamii ya Twitter imepiga marufuku matangazo ya sarafu za siri (cryptocurrency). Kampuni...