Tag: uchawi
- by T L
- January 26th, 2022
Mbunge alaani hatua ya wakazi kuweka uchawi mbele kuliko elimu Pwani
NA KALUME KAZUNGU MBUNGE wa Kaloleni, Bw Paul Katana, amelaani hatua ya baadhi ya wakazi wa eneo hilo wanaodaiwa kushirikiana...
- by T L
- October 20th, 2021
Washukiwa kusalia seli siku 10
WYCLIFFE NYABERI na CHARLES WASONGA WANAUME wanne wanaoshukiwa kuwateketeza wanawake wakongwe kwa tuhuma za uchawi eneo la Marani,...
- by T L
- October 19th, 2021
Ni hatia kumsingizia mtu kuwa mchawi
Na WAANDISHI WETU HUKU visa vya wazee kwa tuhuma za uchawi vikiendelea kukithiri haswa katika kaunti ya Kwale, Kilifi na Kisii,...
Pasta asherehekea kufariki kwa nabii TB Joshua, asema alikuwa mchawi
MASHIRIKA PASTA mmoja wa Uganda alisherehekea kifo cha Nabii Temitope Balogun Joshua, almaarufu TB Joshua, akimtaja marehemu kama...
Mimi si mchawi – Raila Odinga
LEONARD ONYANGO na DERICK LUVEGA KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga jana aliendeleza juhudi za kuimarisha uhusiano kati yake na viongozi...
Wakazi wampiga mwendawazimu wakidai ni mchawi
NA CHARLES ONGADI MWANAMKE mwenye umri wa miaka 33 alipokezwa kichapo cha mwaka na umati kwa tuhuma za uchawi katika kijiji cha...
- by adminleo
- June 8th, 2020
Wazee sita huuawa kila wiki Pwani – Serikali
Na WACHIRA MWANGI YAHOFIWA mkongwe mmoja huuliwa kila wiki katika kila kaunti za Pwani kwa madai ya uchawi, kwa mujibu wa Mshirikishi wa...
- by adminleo
- December 22nd, 2019
2019: Jumla ya wazee 46 waliuawa wakidaiwa kuwa wachawi
Na MAUREEN ONGALA JUMLA ya wazee 46 waliuliwa katika Kaunti ya Kilifi mwaka huu kwa madai potovu kwamba walikuwa wachawi, kwa mujibu wa...
- by adminleo
- December 15th, 2019
Wenye matatu sasa wageukia ndumba kuvuta wateja
Na STEPHEN ODUOR WAMILIKI wa matatu katika Kaunti ya Tana River wamelaumiana kuhusu utumizi wa juju kuvutia wateja na kuharibia wenzao...
- by adminleo
- November 9th, 2019
Daktari alaumu uchawi Kilifi kwa umaskini wake
Na MAUREEN ONGALA DAKTARI wa mifugo aliyestaafu katika Kaunti ya Kilifi, anadai kuwa uchawi umemsababishia umaskini mkubwa maishani...
- by adminleo
- July 30th, 2019
Wazee waficha mvi wasiuawe
Na WINNIE ATIENO WAZEE eneo la Pwani wanalazimika kuvaa kofia kukuficha mvi wakihofia kuuawa. Pia wengi wameanza kupaka rangi nyeusi...
- by adminleo
- May 25th, 2019
Wakazi wa mtaa wa Karagita walalama ‘nguvu za giza’ zimezidi
Na MWANGI MUIRURI WAKAZI wa mtaa wa Karagita ulioko katika Kaunti ya Nakuru wameteta kuwa serikali yao ya kaunti inatoa leseni...